MWARABUM
Member
- Nov 4, 2016
- 50
- 53
Mtoa mada kichwa cha habari kilitakiwa kisomeke hivi "wauza nguo za kike na urembo wanavyomla mke wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣
Mtoa mada kichwa cha habari kilitakiwa kisomeke hivi "wauza nguo za kike na urembo wanavyomla mke wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuwa na hela zako za kutosha kabisa lakini ukakosa vingine ndo hapo sasa shida inapoanzia...Wanaoliwa ni wale wasio na hela za kununua nguo...sisi wenye zetu walaaa hatuliwi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ata mm nimeshatafuna kadhaaaUmesahau kitu hawa kina dada wengine wana tamaa wanapenda nikopeshe nikopeshe alafu wanakupa namba ya simu hela utaipitia siku nyingine. Alafu wakitafutwa wanawabania sauti na kuwazungusha mpaka muuza nguo anaona bora alipize kwa kulala nae mbele tuu. Nmepiga stori na wauza nguo wanapata sana changamoto kwa wanawake tusigonge upande wao tuu.
Tunatafuna sanaUmesahau kitu hawa kina dada wengine wana tamaa wanapenda nikopeshe nikopeshe alafu wanakupa namba ya simu hela utaipitia siku nyingine. Alafu wakitafutwa wanawabania sauti na kuwazungusha mpaka muuza nguo anaona bora alipize kwa kulala nae mbele tuu. Nmepiga stori na wauza nguo wanapata sana changamoto kwa wanawake tusigonge upande wao tuu.
mmmmh unawachokoza wenyewe watakuja na yale majibu yao......
Ukitaka mkeo asiliwe akenda dukani mpe pesa na ya ziada bila ivyo akenda kununua nguo pesa haijakamilika ataliwa ili nguo aipate
Kwanza kabla ya yote wana MMU tusikitike kidogo jamani!!
Kumekuwa na katabia hapa jijini kwa Makonda japo sio kapya ili kwa sasa kameshamiri kwelikweli yani wauza nguo za kike kuanzia za juu, chini mpaka ndani especialy wale wanaotembeza majumbani kwetu mbaya zaidi tukiwa hatupo kabisa na kwa wale wanawake wafanyakazi huwaletea jioni na siku za week bila kusahau yakuwa wanapenda sana kuchukua numbe za simu ili "nikipata nikustue" .
Mbinu wazitumiazo;
1, Kuwapa wajaribishe nguo alafu wakishajaribu wanaanza kuwasifia na kuwaweka nguo vizuri mara kamshuka huku mara kule na siunajua wazee tulivyo bussy moja chali na wanawake wa sasa wasivyoridhika na walivyodhaifu mara washalegea .
2, Mbinu nyingine ni pale wanapowapa wanawake nguo wajaribu alafu wakishavaa huanza kulalamika yakuwa "ujue umependeza mpaka mwenzako mimi hooi naumia naomba nionee huruma" na hawa viumbe wenzetu walivyo na huruma hujikuta wanavunja ile amri ya 6.
3, Zawadi za nguo
Utashangaa mara kamletea mke wa mtu zawadi tena mbaya zaidi nguo za ndani kama chupi, bikini, skin tight na hata night dress ambavyo ni very romantic kila waivaapo lazima wakumbuke the giver na hutumia advantage hiyo kutogongea yani hawa majunk wanapenda sana wake za watu kwa kuwa wanapenda mteremko no vizinga nk.
4, Kujifanya wanyonge na maskini sana yani hawaishi kuwaambia wake zetu kuwa " Swaiba ulivyopendeza Mungu tu ndio anajua yaaani wakubwa wanafaidi wea acha tu mimi maskini nimpate wapi mwanamke mzuri kama wewe" wanawake wanapenda sana kusifiwa, kuliliwa na kunyenyekewa mwisho wa siku wanaliwa leo nimeonyeshwa dogo mmoja anayemla mke wa mheshimiwa fulani wallah sikuamini sijui wake zetu wamekumbwa na jini gani jamani?
My take;
Tuwe na tahadhari sana na hawa watu na pia tusiwaruhusu hawa vijana wawazoee wake zenu kwani wamekuwa hatari sana juzi tu kuna jamaa kamwacha mkewe kisa muuza nguo za kike.
Sent using Jamii Forums mobile app