Waumini wa Mwamposa wakichota udongo uliokombolewa

Waumini wa Mwamposa wakichota udongo uliokombolewa

kingphisher

Senior Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
119
Reaction score
226
Waumini maelfu wakichota udongo uliokombolewa na Mtume Boniphace Mwamposa hapo jana Kawe kwenye Mkesha wa kumaliza mwaka.

FB_IMG_1766221866776.jpg
 
Wasi wasi wangu akifa huyu wanaweza kumuabudu

Amani ni tunu yetu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana

epuka maandamano Linda uhai wako
 
Wasi wasi wangu akifa huyu wanaweza kumuabudu

Amani ni tunu yetu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana

epuka maandamano Linda uhai wako
Mkuu@ELI COHEN anakuita kule

Anasema umekimbia mashambulizi 😆
 
Wasi wasi wangu akifa huyu wanaweza kumuabudu

Amani ni tunu yetu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana

epuka maandamano Linda uhai wako
Acha kukariri. Amani hailindwi ''kwa wivu''. Kimsingi hili jambo la kusema ''nitalinda..... ''kwa wivu mkubwa'' ni kukariri kama nyumbu. Jambo au kitu chochote kinalindwa kwa ustadi, ujasiri na maarifa na siyo kwa wivu.
 
Imani ukiiendea vibaya unageuka kuwa kituko mbele ya wenye akili,hao jamii ya Kikristo inayoenda kwa huyo jamaa (zipo za chini chini kwamba imani B nao huwa wanashiriki) hawana tofauti na jamii inayofanana dini na kiongozi aliyejipachika uongozi wa nchi hii.

Wao afanye anavyofanya auwe anavyouwa gharama za maisha zipande zinatakavyopanda kwa sababu ni mwenzao basi watavumilia yote na hawataki asemwe akisemwa tutaanzisha vita
 
Hizi pimbi sijui ni lini akili zao zitarudi mahali pake

Very sad!
 
Back
Top Bottom