goodluck tesha
Member
- Mar 1, 2012
- 29
- 10
Mwasisi wa taifa letu mwl julius k.nyerere alisaidia sana ktk kukuza umoja wetu hivyo taifa lilijengwa vema na uzalendo ulipatikana.mwl alijitahidi kupambana na ukabila,udini,matabaka,uonevu,ukanda na ubaguzi.leo tunajionea wenyewe jinsi viongozi wetu hasa wa chama tawala mnavyomomonyoa nguzo muhimu za nchi yetu.badala ya kuhubiri mshikamano tunahubiri mfarakano tutegemee nini kama kwa sasa tunastawisha udini tunagawa watz ktk misingi ya dini.
Rejea uchaguzi mkuu 2010,uchaguzi mdogo ubunge igunga .ninaumizwa na hii hali na ninachokiona siku za usoni si chema naamini tz haitakaa ifikwe na machafuko ya kikabila lakini machafuko ya kidini yatajatuathiri tusipochukua hatua sasa.nimefikiri sana hata kufikia hatua ya kusema laiti tusingekuwa na hizi dini za ukristo na uislamu tungeweza kuepuka mzozano wa kidini.
Tujiulize wtz na waafrika wenzangu ukristo na uislamu si utamaduni wetu sisi tumeacha tamaduni{dini} zetu tunakimbizana na tamaduni za wazungu na waarabu.je tukianza kukwaruzana sisi kwa sisi itakuw faida ya nani?ili kuepusha hilo viongozi na serikali hakikisheni mnaepuka kutumia kwa vyovyote maneno yenye kuchochea ubaguzi.
Dini hizi za wageni zisitugombanishe tuimarishe taifa letu tuwe wazalendo kweli.anayetugombanisha kwa msingi wa dini awe ni adui yetu sote wtz.mungu ibariki tz mungu wabariki wtz. Nawasilisha
Rejea uchaguzi mkuu 2010,uchaguzi mdogo ubunge igunga .ninaumizwa na hii hali na ninachokiona siku za usoni si chema naamini tz haitakaa ifikwe na machafuko ya kikabila lakini machafuko ya kidini yatajatuathiri tusipochukua hatua sasa.nimefikiri sana hata kufikia hatua ya kusema laiti tusingekuwa na hizi dini za ukristo na uislamu tungeweza kuepuka mzozano wa kidini.
Tujiulize wtz na waafrika wenzangu ukristo na uislamu si utamaduni wetu sisi tumeacha tamaduni{dini} zetu tunakimbizana na tamaduni za wazungu na waarabu.je tukianza kukwaruzana sisi kwa sisi itakuw faida ya nani?ili kuepusha hilo viongozi na serikali hakikisheni mnaepuka kutumia kwa vyovyote maneno yenye kuchochea ubaguzi.
Dini hizi za wageni zisitugombanishe tuimarishe taifa letu tuwe wazalendo kweli.anayetugombanisha kwa msingi wa dini awe ni adui yetu sote wtz.mungu ibariki tz mungu wabariki wtz. Nawasilisha