oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 65
Napendekeza katiba mpya iwe na baraza la kitaifa lenye wajumbe wazalendo, wasio wanacahama wa chama chochote cha siasa ili baraza hilo lihusike na kutunga sera na vipaumbele vya taifa. kazi ya vyama vya siasa iwe ni kutuambia how to reach our goals kama taifa na siyo what to do.
Nawasilisha
Nawasilisha