Watumishi wa Umma Njooni mu "apply scholarship" za MOFCOM@China

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Aug 29, 2020
5,807
13,056
Halo JF .....
Mwaka jana mwezi wa 10 Wizara ya Utumishi wa Umma ilitoa Tangazo la maombi ya Scholarship kwa Masters na PhD kwa watumishi wa Umma.

Kilichonishangaza ni kwamba tarehe 04/04/2022 Wizara Imeweka tena tangazo.

Hii inaonyesha na kutafsirisha kwamba Watumishi wa Umma hawakuomba ili Wizara ipate wa kutosha.

Sasa ndugu zangu Watumishi wenzangu wa Umma hebu apply-ini kwa wingi tafadhali.

Maana huko duniani Tz tunatafsirika watu wasiopenda kuchangamkia fursa za ajira na masomo huko nje.

Na kizuri zaidi hii scholarship haihitaji cheti cha kingereza (TOEL).

Link 👇👇👇

Haya tushambulie fursa hizii.

Ukipata Tangazo hili basi mjulishe na mtumishi mwenzio..!!!

NB:-
Kwa watakao kwama mnakaribishwa PM japo CONSULTATION FEES itahusika tafadhali...!!!

*Am an expert in these matters.

#YNWA
 
WAAMBIE wizara iboreshe maslahi ya watumishi wake kabla hawajaja na UJINGA wa scholarship kwani haiwezekani mtumishi ku apply scholarship wakati hamjaona matunda ya elimu yake hiyo aliyonayo Kwanza!!!Waache UJINGA!!!
 
Nilishagoma kusoma ASIA kabisa
Una cheti cha TOEL na unaweza kufanya mtihani wake na ukalipia pale British Council ili uweze kukipata cheti?

Any way; hii ni China nchi ambayo utaenda kufundishwa na kujionea fursa za biashara.
Kwa miaka hiyo utakayo kaa huko unaweza pata connection na kujifunza mengi.
Ukarudi na cheti cha Shule + cha biashara ulichokusomea mwenyewe kitaa..!!!

Think outside the box, Hii sio Asia tu Bali hii ni China nchi ambayo imezaja bidhaa nyingi sanaa kila pembe ya dunia.

#YNWA
 
Mambo ya kusoma miaka 3 nje, ...unaludi unakuta family imeshasambalatika.
Hilo ndilo linalomsumbua mshkaji wangu..
Tumepata scholarship kwenda nchi tuliyotamani kwenda ila Sasa mkewe/mchumba Kapiga pin


Ila nikutahadharishe tu:- Kuna muda kwenye maisha unatakiwa kuwa na Roho mbayaa sanaa ya ubinafsi ili ufanikiwe...!!!
Sio muda wotee uwaangalie wao tu, muda mwengine pigania matamanio yako.

#YNWA
 
Hilo ndilo linalomsumbua mshkaji wangu..
Tumepata scholarship kwenda nchi tuliyotamani kwenda ila Sasa mkewe/mchumba Kapiga pin


Ila nikutahadharishe tu:- Kuna muda kwenye maisha unatakiwa kuwa na Roho mbayaa sanaa ya ubinafsi ili ufanikiwe...!!!
Sio muda wotee uwaangalie wao tu, muda mwengine pigania matamanio yako.

#YNWA
Mchumba anakuzuia kutimiza ndoto zako. Ungesema hta mke hobi. Kwa HYo jamaa Kasanda haendi tena. Waenda mwenyewe tu?
 
Una cheti cha TOEL na unaweza kufanya mtihani wake na ukalipia pale British Council ili uweze kukipata cheti?

Any way; hii ni China nchi ambayo utaenda kufundishwa na kujionea fursa za biashara.
Kwa miaka hiyo utakayo kaa huko unaweza pata connection na kujifunza mengi.
Ukarudi na cheti cha Shule + cha biashara ulichokusomea mwenyewe kitaa..!!!

Think outside the box, Hii sio Asia tu Bali hii ni China nchi ambayo imezaja bidhaa nyingi sanaa kila pembe ya dunia.

#YNWA
Vijana hawaelwi ilivyo ngumu kusoma nchi za ulaya bila kuwa na TESOL certficate

Na hicho cheti kina expare after 2 yrs na gharama za kulipia zipo juu mbaya almost 590000 per paper na kutoboa hutaweza kutoboa
Angalau urudie hizo paper mara 3 au 4

Nchi rahusi kusoma ulaya ni German tu but lazima uwe na germany language cert atleast level B2 na deposit ya € 12000 kwa blocked account
 
Una cheti cha TOEL na unaweza kufanya mtihani wake na ukalipia pale British Council ili uweze kukipata cheti?

Any way; hii ni China nchi ambayo utaenda kufundishwa na kujionea fursa za biashara.
Kwa miaka hiyo utakayo kaa huko unaweza pata connection na kujifunza mengi.
Ukarudi na cheti cha Shule + cha biashara ulichokusomea mwenyewe kitaa..!!!

Think outside the box, Hii sio Asia tu Bali hii ni China nchi ambayo imezaja bidhaa nyingi sanaa kila pembe ya dunia.

#YNWA

Mambo ya language testing nilishamaliza siku nyingi sana

Naipenda sana elimu ya Ulaya na America

Niende kusoma Asia wakati wao wanakimbilia ulaya kila siku kusoma
 
Back
Top Bottom