Watumishi 4,380 walioondolewa kimakosa warejeshwa kazini

Ina maana ni watumishi wote ambao hawakughushi vyeti wamerudishwa kazini?
 
serikali ya wanyonge, "matajiri waishi kama mashetani" "hao mashetani si ndio maskini?"
 
Mbona utekelezaji wake kama sikosei ulishafanyika tangia 2017?

Kwa nini issue iliyotekelezwa miaka mingi iliyopita ije kuongelewa sasa na kuonekana kama imefanyika mwaka huu, wanataka kumhadaa nani na kwa faida ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…