Watumiaji wa Mabodro App nisaidieni Tafadhali.

mpenda arage

JF-Expert Member
Nov 10, 2015
1,673
3,793
Salaam kwenu wahenga wenzangu. Nina hii Application ya mabodro, kwakweli iko vizuri. Ila tatizo mb zinawahi kuisha kabla ya movie kuisha. Huwa natumia ya kwako tu(mb 800) Vodacom. Je, nikiwa na mb ngapi ndio ntainjoi zaidi?!
Natanguliza shukrani.
 
Salaam kwenu wahenga wenzangu. Nina hii Application ya mabodro, kwakweli iko vizuri. Ila tatizo mb zinawahi kuisha kabla ya movie kuisha. Huwa natumia ya kwako tu(mb 800) Vodacom. Je, nikiwa na mb ngapi ndio ntainjoi zaidi?!
Natanguliza shukrani.
Weka gb 10 vodacom... 12000 tzs, kifurush cha cku saba.... ukiona kdogo unaeka cha mwz au mwaka

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Weka gb 10 vodacom... 12000 tzs, kifurush cha cku saba.... ukiona kdogo unaeka cha mwz au mwaka

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Poa mkuu, ngoja nijaribu nione kitakaa siku ngapi!
 
Salaam kwenu wahenga wenzangu. Nina hii Application ya mabodro, kwakweli iko vizuri. Ila tatizo mb zinawahi kuisha kabla ya movie kuisha. Huwa natumia ya kwako tu(mb 800) Vodacom. Je, nikiwa na mb ngapi ndio ntainjoi zaidi?!
Natanguliza shukrani.
MBs 800 ndogo sana mkuu....tafuta kifurushi kikubwa atleast kuanzia 4-10 GBs na kuendelea
 
tatizo kuangalia mechi live ina ganda ganda kama nini vile yani huwezi kufurahia mechi.

si kwa vodacom wala halotel 3G. labda kwa mnaotumia 4G
 
Back
Top Bottom