Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

Ni kweli anachosema. Posta bado kuna njaa. Watu hawatosheki na mishahara yao.
Cha msingi atumie speedaf asiache freeshipping ipitie Posta atalia!
Leta kipengele cha kuichagua hio speedaf kwa bidhaa yeyote ile ilioko aliexpress kiongozi tukione na sie tujifunze ila kwa uelewa wangu speedaf kwenye list ya shipping carrier walioko kwenye bidhaa zote a aliexpress wala hayupo, nakupa mfano mwingine hapa
 

Attachments

  • Screenshot_2026-05-27-12-21-54-972_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    Screenshot_2026-05-27-12-21-54-972_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    87.6 KB · Views: 10
  • Screenshot_2026-05-27-12-22-42-823_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    Screenshot_2026-05-27-12-22-42-823_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    127.3 KB · Views: 12
  • Screenshot_2026-05-27-12-21-54-972_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    Screenshot_2026-05-27-12-21-54-972_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    87.6 KB · Views: 13
Kama kitu hukijui bora uulize sio kuwachafua posta sheikhe nina uzoefu wa miaka kumi now kununua online na sijawah poteza chochote
Mpuuzi wewe eti uzoefu miaka 10 nao ni wakuniringishia, nimeanza kuagiza parcel ebay,amazon nk kambla hata hujazaliwa wewe, wewe unaongelea miaka 10 hiyo ya aliexpress na hao kikuu wenu wa vitu feki na matoys,

Posta hawana uhakika kwenye parcels mizigo mingi hasa midogo midogo inapotea sana ikipitia posta nina uzoefu mkubwa sana bwana mdogo. Na nina kesi zangu si chini ya 7 kupitia posta na zingine hadi ilibidi ni request refund kwa sellers baada tracking kuonesha mzigo ulisha kuwa clared lakini kwangu haujafika.
 
Leta kipengele cha kuichagua hio speedaf kwa bidhaa yeyote ile ilioko aliexpress kiongozi tukione na sie tujifunze ila kwa uelewa wangu speedaf kwenye list ya shipping carrier walioko kwenye bidhaa zote a aliexpress wala hayupo, nakupa mfano mwingine hapa
Speedaf mara nyingi anasafirisha parcel ndogo ndogo na hasa zilizo chini ya 4kg na ndio maana bidhaa yeyote ukisha ona shipping agent ni "Aliexpress standard shipping" ujue hiyo parcel itasafirishwa na speedaf na huwa zinafika mapema sana na baadhi huwa ni free shipping.
 
Mpuuzi wewe eti uzoefu miaka 10 nao ni wakuniringishia, nimeanza kuagiza parcel ebay,amazon nk kambla hata hujazaliwa wewe, wewe unaongelea miaka 10 hiyo ya aliexpress na hao kikuu wenu wa vitu feki na matoys,

Posta hawana uhakika kwenye parcels mizigo mingi hasa midogo midogo inapotea sana ikipitia posta nina uzoefu mkubwa sana bwana mdogo. Na nina kesi zangu si chini ya 7 kupitia posta na zingine hadi ilibidi ni request refund kwa sellers baada tracking kuonesha mzigo ulisha kuwa clared lakini kwangu haujafika.
Acha matusi njoo na kipengele kinachosema ukinunua mzigo aliexpress au kwingine specifically unachagua speedaf unaweza kua na miaka mia kwenye tasnia flani ukazidiwa na wa miezi mitatu, leta kipengele kinachoonesha speedaf nikulipe laki sasa hivi
 
Speedaf mara nyingi anasafirisha parcel ndogo ndogo na hasa zilizo chini ya 4kg na ndio maana bidhaa yeyote ukisha ona shipping agent ni "Aliexpress standard shipping" ujue hiyo parcel itasafirishwa na speedaf na huwa zinafika mapema sana na baadhi huwa ni free shipping.
Umekariri vibaya na kwa maelezo yako ni ngumu sana kukubadili ukaelewa japo nilikua nimekujibu lashalasha kuonesha tu ulichokisema ni uongo nilitaman nikueleweshe kitu ila baki na uelewa wako sihitaji malumbano nyuma ya keyboard na ujue tu kwanza speedaf bongo hawako official na hata ofisi zao ni za kuviziana tu mdogo wangu
 
Acha matusi njoo na kipengele kinachosema ukinunua mzigo aliexpress au kwingine specifically unachagua speedaf unaweza kua na miaka mia kwenye tasnia flani ukazidiwa na wa miezi mitatu, leta kipengele kinachoonesha speedaf nikulipe laki sasa hivi
Umeanza shombo mwenyewe halafu una lalamika, hakuna speedaf ila kuna aliexpress standard shipping ambao humtumia speedaf kama sipping agent
 
Umekariri vibaya na kwa maelezo yako ni ngumu sana kukubadili ukaelewa japo nilikua nimekujibu lashalasha kuonesha tu ulichokisema ni uongo nilitaman nikueleweshe kitu ila baki na uelewa wako sihitaji malumbano nyuma ya keyboard na ujue tu kwanza speedaf bongo hawako official na hata ofisi zao ni za kuviziana tu mdogo wangu
Kwa nilivyo kuona na hoja zako huna cha kunielekeza, niache tuu ilimradi kila ninacho agiza kokote duniani kinafika iwe kwa speedaf, TNT au DHL na nina uhuru wa kuamua mzigo wangu unifikie kwa njia gani hata nisipo taka kutumia hao shipping agent waliopo, nashukuru ila sihitaji chochote kutoka kwako.

Halafu naweza kuwa baba yako so siku nyingine usimuite mdogo wako mtu ambaye huujui umri wake.
 
Mpuuzi wewe eti uzoefu miaka 10 nao ni wakuniringishia, nimeanza kuagiza parcel ebay,amazon nk kambla hata hujazaliwa wewe, wewe unaongelea miaka 10 hiyo ya aliexpress na hao kikuu wenu wa vitu feki na matoys,

Posta hawana uhakika kwenye parcels mizigo mingi hasa midogo midogo inapotea sana ikipitia posta nina uzoefu mkubwa sana bwana mdogo. Na nina kesi zangu si chini ya 7 kupitia posta na zingine hadi ilibidi ni request refund kwa sellers baada tracking kuonesha mzigo ulisha kuwa clared lakini kwangu haujafika.

Umeanza shombo mwenyewe halafu una lalamika, hakuna speedaf ila kuna aliexpress standard shipping ambao humtumia speedaf kama sipping agent
Swali langu unazunguka mzee je ni wewe buyer ndio una opt speedaf(alie std shipping), kupitia machaguo yaliopo kwenye majina ya wasafirishaji au inatokea tu thou unaweza chat na seller ukamuomba afanye hivo na asifanye? Huez sasa ku generalize kua buyer kila akinunua tu item ndogo eti achague speedaf kupitia hayo machaguo kitu ambayo sio
 
Swali langu unazunguka mzee je ni wewe buyer ndio una opt speedaf(alie std shipping), kupitia machaguo yaliopo kwenye majina ya wasafirishaji au inatokea tu thou unaweza chat na seller ukamuomba afanye hivo na asifanye? Huez sasa ku generalize kua buyer kila akinunua tu item ndogo eti achague speedaf kupitia hayo machaguo kitu ambayo
 
Leta kipengele cha kuichagua hio speedaf kwa bidhaa yeyote ile ilioko aliexpress kiongozi tukione na sie tujifunze ila kwa uelewa wangu speedaf kwenye list ya shipping carrier walioko kwenye bidhaa zote a aliexpress wala hayupo, nakupa mfano mwingine hapa
Ukiona tu tracking available jua ni speedaf
 
Acha uongo wako shekhe, nimekataa kwa herufi kubwa, sio kila trwcking available ni speedaf,
Una ushahidi upi mkuu kwa sababu hu ni uzoefu nilionao sio nadharia yaani ikiwa free shipping, AliExpress standard shipping, caniao super economy hafu ikiwa available inakuwa speedaf
 
Una ushahidi upi mkuu kwa sababu hu ni uzoefu nilionao sio nadharia yaani ikiwa free shipping, AliExpress standard shipping, caniao super economy hafu ikiwa available inakuwa speedaf
Rudia ulichokiandika tu vizuri ukisoma kisha fafanua vizuri kwa hio hao chini wote nao ni speedaf? Kwa kuzingatia tracking available
 

Attachments

  • Screenshot_2026-06-03-21-09-02-468_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    Screenshot_2026-06-03-21-09-02-468_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    95.6 KB · Views: 12
Lakini pia nikuulize swali mkuu dogo tu kwa nini tracking number ya speedaf inakuruhusu tu kutrack kupitia speedaf wenyewe ukiiweka kwenye site zingine za kimataifa kama 17tracking 24tracking haikupi update yeyote na hata baada ya mzigo kufika bongo hauwez ona kupitia postal tracking?
 
Rudia ulichokiandika tu vizuri ukisoma kisha fafanua vizuri kwa hio hao chini wote nao ni speedaf? Kwa kuzingatia tracking available
Hapo speedaf ni free shipping via AliExpress standard shipping
Hao wengine wanajitegemea
 
Lakini pia nikuulize swali mkuu dogo tu kwa nini tracking number ya speedaf inakuruhusu tu kutrack kupitia speedaf wenyewe ukiiweka kwenye site zingine za kimataifa kama 17tracking 24tracking haikupi update yeyote na hata baada ya mzigo kufika bongo hauwez ona kupitia postal tracking?
Speedaf wao kazi yao ni kufuatilia mzigo taarifa ya mzigo wako na kuuratibu ukiwa safarini ndani ya bongo. Sio kuusafirisha moja kwa moja kutoka china
 
Mpuuzi wewe eti uzoefu miaka 10 nao ni wakuniringishia, nimeanza kuagiza parcel ebay,amazon nk kambla hata hujazaliwa wewe, wewe unaongelea miaka 10 hiyo ya aliexpress na hao kikuu wenu wa vitu feki na matoys,

Posta hawana uhakika kwenye parcels mizigo mingi hasa midogo midogo inapotea sana ikipitia posta nina uzoefu mkubwa sana bwana mdogo. Na nina kesi zangu si chini ya 7 kupitia posta na zingine hadi ilibidi ni request refund kwa sellers baada tracking kuonesha mzigo ulisha kuwa clared lakini kwangu haujafika.
Anadhani hapa ni facebook huyo, Muache ajichoreshe tu.

Posta waache njaa kwenye parcels ndogo ndogo kama simu, smartwatches, earbuds, RAM, GPU, Hizo ni mali za wanunuaji sio mali za posta jamani! Ndomaana kuna mishahara.
 
Speedaf wao kazi yao ni kufuatilia mzigo taarifa ya mzigo wako na kuuratibu ukiwa safarini ndani ya bongo. Sio kuusafirisha moja kwa moja kutoka chin

Speedaf wao kazi yao ni kufuatilia mzigo taarifa ya mzigo wako na kuuratibu ukiwa safarini ndani ya bongo. Sio kuusafirisha moja kwa moja kutoka china
Tuiache hii mada ila sio kila aliexpress standard shiping ni speedaf, na kama ndivo baada ya ujio wa speedaf basi automatically aliexpress standard shiping angebadili na jina kabisa likabak moja kama ni speedaf au aendelee na aliexpress, unachokosea ni kuamin kua speedaf ni aliex noo sema wanaushirikiano na kuna muda baadhi ya mizigo kama ilivyokua awai kabla ya speedaf aliexpress aliwah kua na ushirikiano na kampuni moja ya kutoka scandnavia tukawa tunapata mizigo ikiwa na trackin number yenye heruf RU, speedaf ni Tz na Akiship aliexpress mwenyewe ni RB
 

Attachments

  • Screenshot_2026-06-04-12-34-17-357_com.android.chrome-edit.jpg
    Screenshot_2026-06-04-12-34-17-357_com.android.chrome-edit.jpg
    152 KB · Views: 11
Nani kasema AliExpress standard shipping ni speedaf? AliExpress standard shipping inafanywa na kampuni itwayo cainiao hii ndio husafirisha mizigo kutoka china kuja bongo. Kuna mingine inayokuwa untracked inapelekwa posta na ambayo tracked wanapokea speedaf na kukufikisha wewe mkoani kwako wana kampuni yao itwayo.
 
Back
Top Bottom