Watuhumiwa wa Kubenea wamepatikana lini?

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
May 9, 2007
3,833
2,790
Wanatindikali wa Kubenea.jpg

Najiuliza kidogo wana JF wenzangu kuhusu kukamatwa kwa watuhumiwa wa umwagiaji wa tindikali kwa mhariri wa MwanaHalisi Bw Kubenea na mapanga kwa Bw Ndimara Tegambwage walikamatwa lini maana mara aliporejea alitoa malalamiko yake na kushangaa kwa kwa kipindi cha siku zote hizo bado watuhumiwa wake hawajakamatwa. Pili najiuliza kutoakana na majibu ya Mzee wa Kanda Maalumu Afande Tibaigana alimjibu Bw Kubenea kwamba angependa kama anawajua aiambie polisi. Hii inamaanisha nini
1. Hao hapo juu Kubenea anauhakika siyo wenyewe?
2. Kama si wenyewe kuna msaada gani kisheria kuwaachia huru au mpaka majaaliwa ya kesi yenyewe?
3. Kama Kubenea anawajua kwanini asiwataje ili kuwanusuru hao anaoona si wenyewe?????

Nawasilisha
 
View attachment 998

Najiuliza kidogo wana JF wenzangu kuhusu kukamatwa kwa watuhumiwa wa umwagiaji wa tindikali kwa mhariri wa MwanaHalisi Bw Kubenea na mapanga kwa Bw Ndimara Tegambwage walikamatwa lini maana mara aliporejea alitoa malalamiko yake na kushangaa kwa kwa kipindi cha siku zote hizo bado watuhumiwa wake hawajakamatwa. Pili najiuliza kutoakana na majibu ya Mzee wa Kanda Maalumu Afande Tibaigana alimjibu Bw Kubenea kwamba angependa kama anawajua aiambie polisi. Hii inamaanisha nini
1. Hao hapo juu Kubenea anauhakika siyo wenyewe?
2. Kama si wenyewe kuna msaada gani kisheria kuwaachia huru au mpaka majaaliwa ya kesi yenyewe?
3. Kama Kubenea anawajua kwanini asiwataje ili kuwanusuru hao anaoona si wenyewe?????

Nawasilisha
hata Mie nilikuwa najiuliza kuna wananchi wa akili gani kununuliwa kirahisi,Kama kuna mtu yeyote anawafahamu watu hao atueleze isije ikawa changa la macho.Ukakuta jamaa ni watu wa Usalama na wameweka pale ilil kupunguza makali coz Kubenea alisema mpaka ikifika jumatatu polisi haitawataja basi yeye mwenyewe atwataha.nina uhakiak katika gazeti la Mwanahalisi la KEsho wataelezea Ukweli.

Wameshikwa pabaya.Wameziasi fikra Za Mwalimu,Wamekosa pa kukimbilia.nani atawasaidia?hawana msaada zaidi ya kuwang'oa hawa maharamia
 
Back
Top Bottom