Wamundemu
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 762
- 458
Sura zaounawezaje kuthibitisha kuwa hao ni wahaya?
Sura zaounawezaje kuthibitisha kuwa hao ni wahaya?
Zile busara na hekima zako zinayeyukia wapi siku hizi mkuu! Ni wewe kweli au account yako imekuwa hacked?Umesahau AIDS ilianzia kwao?
Unyanyasaji wa kijinsia, ukiukwaji wa haki za binaadamu miili ni yao wenyewe, kama wameamua wafanye hivyo kwa hiari bila ya kulazimishwa na mtu sioni kama kuna kosa au aibu..
Nchi kama Uholanzi na Nchi za Scandinavia kufanya Umalata Sio kosa,.. Kosa ni kulazimishwa mtu kufanya Umalata..
Wewe mleta huu uzi una Akili ya mgando, bado uko nyuma kimawazo na fikra, sasa unataka hao wanawake waje Kukuomba kula ndio utafurahi??!
Alafu wanakuaga hawana hata joto ni wa baridi vibaya
Wakikutajia kifungu unitag mkuu, nakwenda kuoga.Kufanya umalaya ni kosa la jinai. Kama ndio ni kinyume cha kifungu gani cha sheria
Umalaya sio kosa kwa sheria za Tanzania, Polisi wamefanya udhalilishaji wa hali ya juu sanaWakikutajia kifungu unitag mkuu, nakwenda kuoga.
Naunga mkono hoja, this is the oldest professional, na ndio ajira iliyoajiri watu wengi duniani kuliko ajira zote na inafanyika kwa namna kuu mbili.Hahaha kwanini wasipewe vitambulisho vya machinga?! Huo ni ujasiliamali, au wao wanaonaje?!
Ila wasichoke rais wa wanyonge akipata taarifa atawakumbuka.
Ndugu zangu wahaya naona bado upepo wa hile scandal yetu pendwa bado inawatafuna tu....
View attachment 1162409View attachment 1162410View attachment 1162412View attachment 1162413View attachment 1162414View attachment 1162415
Sorry kaka kama nimekukwaza. Ila huo ndo ukweli kuwa Aids ilianzia Bukoba. But Iam sorry for offending you.Zile busara na hekima zako zinayeyukia wapi siku hizi mkuu! Ni wewe kweli au account yako imekuwa hacked?
Huu sio udhalilishaji ni njia mojawapo ya kukomesha hii biashara. Hongera aliyeibua huu uozo hadharani
Ushahidi?Nimeumia ni wmama watu wazima...dah..maisha haya
Hivi kwa mfano mie niwe na wadhifa kwa mfano waziri wa Ardhi au Barabara na katika zunguka zunguka nikawa zalisha mabinti wauza baa, jee huo ni umalaya au ni bahati mbaya?Mwanamke hawezi kufanya umalaya peke yake.
wafanyao na wasiofanya hii biashara hakuna mwenye uhakika wa rehema ya Mwenyezi Mungu.Rahabu mmewahimsikia? na kamba yake nyekundu? mwisho wake nani alizaliwa toka huko? tuwaombee na kuwawezesha wabadili maisha
Ukipeleka zawadi unapewa kesi ya hujumu uchumi, hahaha hahaha umalaya upo kila Kona ya dunia. Ilo halikwepekiHili zoezi naliunga mkono.kama kuwaonyesha hivi itawafanya waogope kutenda uovu huo naafikiana na polisi.Nitatafuta zawadi niwape hao askari polisi.
Tukianza na wewe ulishindwa vipi wasitiri sura yakabaki majina!?. Huoni Kama umesaidia kuwadharirisha mkuu...?Huku sio Zanzibar
Polisi wanawakamata kinadada poa wanawaandikia mabango wanapiga picha wanatuma kimtandao
Huu ni udhalilishaji tena ni kinyume na katiba yetu ya mambo ya faragha
Kwa nini MTU adhalilishwe kutumia mwili wake
Kwa nini atangazwe kama jambazi
Kwa nini ni Tanzania tu ?
Je hii ni nchi ya kidini
Tusimame kupinga hiki kitendo hiki cha udhalilishaji dhidi ya wanawake wa Tanzania View attachment 1162250View attachment 1162251View attachment 1162252View attachment 1162253
Juu wapiwapi watetezi wa haki za binadamu.
Police brutality ni maagizo toka juu