Watu8 na FaizaFoxy wako wapi?!


Sijakuelewa ila ni kama unasema Faiza ni Muislamu na Jk ni hivyo hivyo so alikuwa active sana kumtetea, so kwa kuwa jiwe ni mkristo ndiyo mana hayuko active? Sorry ila umesema mwenyewe kuwa nyeusi iitwe nyeusi na nyeupe nyeupe.
 
Waooooooooooooooooooooo hatimae Dada yetu kipenzi faiza foxy ametoka pangoni amekuja ametujibu na tumejua bado anaendelea kupata rehema na baraka za Allah

Asante Dada faiza foxy
 
Serious au joke ? Hawezi kuwa mwalimu bana uwelewa wake na exposure ni mpana mnoo tofauti na walimu wengi walivyo
You must be very stupid. Walimu gani hawana exposure ? Kumbuka hatuongelei walimu wa madrasatul
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…