R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Tumbo limeumbwa likipata njaa mtu anatafuta chakula apunguze njaa, Yes kuna kufunga lakini sio moja kwa moja, labda iwe ni muujiza wa nguvu za ziada nje ya uumbaji wetu.
Hamu ya kutaka kusex kwa mwanaume asie hanithi huwa haipekiki bila kujali ni mkimya kiasi gani, ni mstaarabu kiasi gani. hii ni kama njaa hata manabii hao waliokuwa wakiendeleza kizazi walikuwa wanafanya tendo hili, Yesu siwezi kumuingiza hapa maana hata mimba yake ilivyopatikana ni miujiza ndio maana haishangazi aliweza kukaa na njaa siku nyingi na aliweza kuishi bila tamaa ya sex, aliumbwa kitofauti kabisa.
Sasa kwa hawa wenzetu wakuitwa mapadri ambao wanakula viapo kwamba hawawezi kuja kufanya sex maisha yao yote, huu huwa ni unafki au?
Hivi mwanaume rijali viungo vinafanya kazi kabisa bila tatizo, unaweza kukaa na kiwanda hicho kwa miaka?, hebu tuacheni kukashifu nature ya uumbaji wetu.
Na si ajabu ndio maana watu hawa wanajaribu sana kujificha ila wanaumbuka huko mitaani kuwapangia vimada wao vyumba na nyumba na mwisho wa siku kuwazalisha, wengine washakuwa maarufu kuhudhuria gesti.
Hamu ya kutaka kusex kwa mwanaume asie hanithi huwa haipekiki bila kujali ni mkimya kiasi gani, ni mstaarabu kiasi gani. hii ni kama njaa hata manabii hao waliokuwa wakiendeleza kizazi walikuwa wanafanya tendo hili, Yesu siwezi kumuingiza hapa maana hata mimba yake ilivyopatikana ni miujiza ndio maana haishangazi aliweza kukaa na njaa siku nyingi na aliweza kuishi bila tamaa ya sex, aliumbwa kitofauti kabisa.
Sasa kwa hawa wenzetu wakuitwa mapadri ambao wanakula viapo kwamba hawawezi kuja kufanya sex maisha yao yote, huu huwa ni unafki au?
Hivi mwanaume rijali viungo vinafanya kazi kabisa bila tatizo, unaweza kukaa na kiwanda hicho kwa miaka?, hebu tuacheni kukashifu nature ya uumbaji wetu.
Na si ajabu ndio maana watu hawa wanajaribu sana kujificha ila wanaumbuka huko mitaani kuwapangia vimada wao vyumba na nyumba na mwisho wa siku kuwazalisha, wengine washakuwa maarufu kuhudhuria gesti.