Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikisheni mnakuwa VAT registered!Tulikuwa busy tunaunda Kikwete Foundation.
We are still super busy.
Kila lakheri Mungu awafanyie wepesi mambo yaende sawaTulikuwa busy tunaunda Kikwete Foundation.
We are still super busy.
Money laundering? Just curious!
All the bestTulikuwa busy tunaunda Kikwete Foundation.
We are still super busy.
Nawe piaRamadhan Kareem.
Huyo bibi kizee alisoma Telecom CanadaKama sikosei kuna sehemu alisema amesoma mambo flani ya sayansi na teknolojia huko Asia Malaysia au Indonesia.
Itakuwa IT au Telecom.
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa na historia ya nchi yetu kwa muda mrefu sasa katika vyombo mbali mbali vya hbr. Nimegundua mambo kadhaa kutoka kwa waandishi na wadau wake. Wengi baadhi ya waandishi na baadhi ya wadau wa habari wamekuwa wakichambua mambo ya siasa na utawala wa nchi yetu kwa kutosimamia ukweli na uhalisia. Wengi hugemea au kupendelea upande wa dini au kabila waliko wao. Hata kama upande huo una haribu nchi wao hujifanya hawaoni. Kwa hiyo hata humu JF kuna watu sasa hivi wanaiponda au kutoiunga mkono serikali iliopo madarakani jwa sababu sio watu wa imani moja au kabila moja. Na pia kuna wengine wanaiunga mkono sio kwamba inafanya vizuri bali ni kwa kuwa tu ni wamoja ktk dini au kabila. Tukitaka kwenda mbele kama nchi tubadilike tuache unafiki. Nyeusi tuseme nyeusi na nyeupe isemwe tu kuwa nyeupe bila kuogopa wala kupendelea.
Na Lara1 yupo wapi?
Doh aisee umenipa kitu kipya natamani nione hiyo interview pia naomba mwenye link ya huo uzi
niheshima kwangu kujibiwa na moderatorPengine anamaanisha hii > FaizaFoxy Live Interview
Unaweza pitia na hii pia > Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
Asante.
Hata leo alikuwa hewani anaperuzi!Hahahahaah nipo humu ndani tangu 2008 Yaani huu ni Mwaka wa kumi!! Huyo Bibi kapigwa chini sijui kaishia wapi
Siyo kweliTatizo LA faiza alikuwa pro ccm sana sasa jiwe linachemka kuendesha nchi faiza anashindwa kuipenda na kuitetea ccm kama alivyokuwa anafanya enzi za jk
You must be very stupid. Walimu gani hawana exposure ? Kumbuka hatuongelei walimu wa madrasatulSerious au joke ? Hawezi kuwa mwalimu bana uwelewa wake na exposure ni mpana mnoo tofauti na walimu wengi walivyo