President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,548
- 89,516
Watu wanaotumia mihemko wataendelea kupiga kelele. Lakini ukweli ni kwamba mipango yao waliyoisuka kwa miaka mingi imezimwa kama mshumaa. Wao wanapanga CCM inapanga.
CCM imevuka vikwazo vingi mno, imepita kwenye milima na kwenye mabonde mazito. Imepenya majaribio mengi.
Walitumia maafisa kuweza kupanga mipango, Maafisa wasiolitakia mema taifa letu, wakakengeuka wakatengeneza mipango kabambe. Wakajiona kuwa wanashinda kabla hawajajibiwa. Majibu yakaja. Walitumia kila mbinu, kutishia, uzushi, skando, slaha zote walizitumia.
Sasa ni kimyaa Serikali ipo kazini. Tunasonga mbele.
CCM ni chama dume siyo kukijia kwa mipango ambayo wanacheza mipango hiyo ni wana CCM watiifu. CCM ni taasisi, CCM siyo mtu mmoja au kikundi cha watu. CCM ipo kila kona (Makanisani, Misikitini, ulipo CCM ipo), Unayepanga naye mipango unamwamini kwa % ngapi.
Sasa ni wazi kuwa nguvu ya CCM dunia nzima wamejua. Wajerumani wanatamani kurudi hapa TZ lakini kikwazo chao ni CCM. Sasa utitowaje hiyo CCM.
Plans tunazijua zote itabidi mjipange tena kwa miaka 25 Year. Mipango yenu yote mliokuwa mnaifanya kila hatua ilikuwa inafuatiliwa.
Mwenye akili haambiwi tazama.
CCM imevuka vikwazo vingi mno, imepita kwenye milima na kwenye mabonde mazito. Imepenya majaribio mengi.
Walitumia maafisa kuweza kupanga mipango, Maafisa wasiolitakia mema taifa letu, wakakengeuka wakatengeneza mipango kabambe. Wakajiona kuwa wanashinda kabla hawajajibiwa. Majibu yakaja. Walitumia kila mbinu, kutishia, uzushi, skando, slaha zote walizitumia.
Sasa ni kimyaa Serikali ipo kazini. Tunasonga mbele.
CCM ni chama dume siyo kukijia kwa mipango ambayo wanacheza mipango hiyo ni wana CCM watiifu. CCM ni taasisi, CCM siyo mtu mmoja au kikundi cha watu. CCM ipo kila kona (Makanisani, Misikitini, ulipo CCM ipo), Unayepanga naye mipango unamwamini kwa % ngapi.
Sasa ni wazi kuwa nguvu ya CCM dunia nzima wamejua. Wajerumani wanatamani kurudi hapa TZ lakini kikwazo chao ni CCM. Sasa utitowaje hiyo CCM.
Plans tunazijua zote itabidi mjipange tena kwa miaka 25 Year. Mipango yenu yote mliokuwa mnaifanya kila hatua ilikuwa inafuatiliwa.
Mwenye akili haambiwi tazama.