Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 5,895
- 11,788
Hebu fikiria, mtu mweusi akienda Ulaya anabaguliwa, akienda Marekani anabaguliwa, akienda Japan, China, South Korea, India, Australia kila kona anadharauliwa, why?
Lakini wao wakija huku tunawaheshimu sana.
Ukweli ni kwamba sisi watu weusi hatutakuja kuheshimika kwa kulia lia tu eti watu weupe waache ubaguzi. Sisi ndio tunaopasww kuijenga hiyo heshima la sivyo tutaendelea kudharaulika na kila race hapa duniani
Wanasemaga "RESPECT IS EARNED"
Ukiangalia inventions zote za muhimu duniani zimefanywa na watu weupe. Zipo chache zilizofanywa na watu weusi ila ukiangalia watu hao ni wale walioelimika nchi za watu weupe
Nchi zote za watu weupe ni tajiri na nchi zote za watu weusi ni masikini. South Africa imejengeka vizuri vile na walioijenga ni watu weupe. Nchi tajiri Africa karibia zote sio za watu weusi (Morocco, Algeria, Egypt, Tunisia, Seychelles, Mauritius etc). Nchi hizi ukiziangalia ni tajiri kuliko nchi zote za watu weusi duniani kasoro South Africa (ambayo ilijengwa na watu weupe)
Fuatilia miji ya Morocco au Egypt, utaona ni miji misafi, ina miti mingi, imepangiliwa vizuri na ina mwonekano mzuri sana ukifananisha na miji ya nchi za watu weusi
Nchi masikini zaidi Ulaya watu wake wana maisha mazuri kuliko nchi tajiri zaidi Africa, pia nchi masikini zaidi North America ni Haiti, ambayo ni nchi ya watu weusi
Zimbabwe ilipokuwa chini ya watu weupe, Harare ndio ulikuwa mji msafi na organised zaidi Africa. Baada ya watu weusi kupewa Zimbabwe yao sasahivi Harare umekuwa mji mchafu na disorganised
Miji yetu hapa Tanzania utagundua maeneo organised (Oysterbay Dar es Salaam au Uzunguni, Mbeya) yalijengwa na watu weupe, halafu yale maeneo disorganised tumejenga sisi watu weusi
Africa imekuwa ikisumbuliwa na Malaria kwa miaka. Watu walikuwa wanakufa tu bila kujua chanzo, mpaka wazungu walipokuja ndio wakajua kinachowaua wakazi wa Africa ni malaria, na inasambazwa na mbu. Mpaka dawa za Malaria wakatengeneza watu weupe.
Sasahivi kila ugonjwa unaoanzia Africa (UKIMWI au Ebola) ni watu weupe ndio watagundua unavyosambaa, na tiba yake au namna ya kujikinga
Hapa Tanzania kila tukitaka kujenga madaraja, tunatumia makampuni ya Kichina au Korea, Uturuki nk.
Nyumba zetu tunajenga wenyewe ila ikija suala la kujenga tu ghorofa refu, tunawaita Wachina
Africa imejaaliwa resources nyingi sana. Lakini tulikuwa hatujui mpaka walipokuja watu weupe. Hata sasahivi, tayari tunajua kuwa tuna resources ila bado zinafaidisha watu weupe.
Mgodi wa Buzwagi kule Kahama, wazungu wamejichimbia dhahabu hadi sasahivi yamebaki kidogo, mgodi umefungwa bado Kahama ni masikini na haujatunufaisha ipasavyo Waafrika
Mpaka leo nchi za watu weusi mahali popote pale duniani zina matatizo common
Bado maji ni ya shida, umeme wa kusuasua, umasikini umeshamiri, watu tunazaliana kwa wingi bila mipango ya maana ya kiuchumi, viongozi mafisadi, miji michafu, ajira hakuna, viwanda vya kuhesabu, slums kila kona yani hali ni mbaya everywhere
Hata Botswana na Namibia ambazo tunasema zipo vizuri kwa hapa Africa na zenyewe bado umasikini ni mkubwa na viwanda vichache. Ni vile tu wana afadhali kuliko Waafrika wengine, ila sio kwamba wako vizuri sana
Nchi nyingi za Asia zilikuwa masikini miaka ya 1960, angalia Singapore, Qatar, South Korea na China. Leo hii zimetajirika mno. Kama kutawaliwa hata Singapore, South Korea na China zilitawaliwa na zilipoachiwa huru zilikuwa masikini kama Africa tu. Ila miaka ilivyozidi kwenda maji na mafuta yakazidi kujitenga
Nchi zao zikawa tajiri na very industrialized, sisi tumebaki masikini na hadi leo tukifanikiwa jambo dogo mno tunajipongeza hadi basi
Leo hii dunia nzima utakuta bidhaa za Wachina ( Xiaomi, Lenovo, Huawei, Hisense, BYD etc), Wakorea (Samsung, LG, nk), Wajerumani (Volkswagen), Wamarekani (Apple, Microsoft, HP, Dell), Wajapani (Sony, Play Station, Sharp Aquos, Toyota), Taiwan (Asus) nk lakini hautakuta makampuni ya Nigeria, Tanzania, Kenya, Uganda, Angola, Somalia nk
Miradi yetu mikubwa hapa Tanzania tunawapa Wachina na Waarabu waiongoze, kwamba sisi tunashindwa kuiongoza.
Sisi tuna mzaha hata na viongozi tunaowachagua. Kama kiongozi anawapa rasilimali watu wa nchi za nje bila hofu wala chembe ya uzalendo unadhani hao watu unaowapa hizo rasilimali wanakuonaje? In fact wanakuona kama zezeta ambalo halijali kuhusu nchi yake, na ndio la kulitumia kutajirisha nchi zao wao wanaojitambua.
Sisi karibia kila kitu tunaboronga. Kuanzia elimu, afya, kilimo, umeme, ajira, viwanda, usafirishaji, chakula, teknolojia, uchumi, maisha ya watu, uongozi, uchimbaji madini nk. Ni watu masikini, mafisadi, wala rushwa na tunapenda mno kujipongeza kwa achievements ndogo ambazo wenzetu walishafanikiwa miaka ya 1980s huko
Hivi hata wewe ukifikiria, kwa jinsi sisi watu weusi tulivyo nyuma kwenye kila kitu unadhani nani atatuheshimu? Ndio maana tunabaguliwa mno nchi za watu na watu wengi hawapendi black immigrants kwenye nchi zao. Sisi tunasikitisha sana.
It's painful but it's the truth. Katika human races zote duniani sisi ndio tunadhalilisha
Lakini wao wakija huku tunawaheshimu sana.
Ukweli ni kwamba sisi watu weusi hatutakuja kuheshimika kwa kulia lia tu eti watu weupe waache ubaguzi. Sisi ndio tunaopasww kuijenga hiyo heshima la sivyo tutaendelea kudharaulika na kila race hapa duniani
Wanasemaga "RESPECT IS EARNED"
Ukiangalia inventions zote za muhimu duniani zimefanywa na watu weupe. Zipo chache zilizofanywa na watu weusi ila ukiangalia watu hao ni wale walioelimika nchi za watu weupe
Nchi zote za watu weupe ni tajiri na nchi zote za watu weusi ni masikini. South Africa imejengeka vizuri vile na walioijenga ni watu weupe. Nchi tajiri Africa karibia zote sio za watu weusi (Morocco, Algeria, Egypt, Tunisia, Seychelles, Mauritius etc). Nchi hizi ukiziangalia ni tajiri kuliko nchi zote za watu weusi duniani kasoro South Africa (ambayo ilijengwa na watu weupe)
Fuatilia miji ya Morocco au Egypt, utaona ni miji misafi, ina miti mingi, imepangiliwa vizuri na ina mwonekano mzuri sana ukifananisha na miji ya nchi za watu weusi
Nchi masikini zaidi Ulaya watu wake wana maisha mazuri kuliko nchi tajiri zaidi Africa, pia nchi masikini zaidi North America ni Haiti, ambayo ni nchi ya watu weusi
Zimbabwe ilipokuwa chini ya watu weupe, Harare ndio ulikuwa mji msafi na organised zaidi Africa. Baada ya watu weusi kupewa Zimbabwe yao sasahivi Harare umekuwa mji mchafu na disorganised
Miji yetu hapa Tanzania utagundua maeneo organised (Oysterbay Dar es Salaam au Uzunguni, Mbeya) yalijengwa na watu weupe, halafu yale maeneo disorganised tumejenga sisi watu weusi
Africa imekuwa ikisumbuliwa na Malaria kwa miaka. Watu walikuwa wanakufa tu bila kujua chanzo, mpaka wazungu walipokuja ndio wakajua kinachowaua wakazi wa Africa ni malaria, na inasambazwa na mbu. Mpaka dawa za Malaria wakatengeneza watu weupe.
Sasahivi kila ugonjwa unaoanzia Africa (UKIMWI au Ebola) ni watu weupe ndio watagundua unavyosambaa, na tiba yake au namna ya kujikinga
Hapa Tanzania kila tukitaka kujenga madaraja, tunatumia makampuni ya Kichina au Korea, Uturuki nk.
Nyumba zetu tunajenga wenyewe ila ikija suala la kujenga tu ghorofa refu, tunawaita Wachina
Africa imejaaliwa resources nyingi sana. Lakini tulikuwa hatujui mpaka walipokuja watu weupe. Hata sasahivi, tayari tunajua kuwa tuna resources ila bado zinafaidisha watu weupe.
Mgodi wa Buzwagi kule Kahama, wazungu wamejichimbia dhahabu hadi sasahivi yamebaki kidogo, mgodi umefungwa bado Kahama ni masikini na haujatunufaisha ipasavyo Waafrika
Mpaka leo nchi za watu weusi mahali popote pale duniani zina matatizo common
Bado maji ni ya shida, umeme wa kusuasua, umasikini umeshamiri, watu tunazaliana kwa wingi bila mipango ya maana ya kiuchumi, viongozi mafisadi, miji michafu, ajira hakuna, viwanda vya kuhesabu, slums kila kona yani hali ni mbaya everywhere
Hata Botswana na Namibia ambazo tunasema zipo vizuri kwa hapa Africa na zenyewe bado umasikini ni mkubwa na viwanda vichache. Ni vile tu wana afadhali kuliko Waafrika wengine, ila sio kwamba wako vizuri sana
Nchi nyingi za Asia zilikuwa masikini miaka ya 1960, angalia Singapore, Qatar, South Korea na China. Leo hii zimetajirika mno. Kama kutawaliwa hata Singapore, South Korea na China zilitawaliwa na zilipoachiwa huru zilikuwa masikini kama Africa tu. Ila miaka ilivyozidi kwenda maji na mafuta yakazidi kujitenga
Nchi zao zikawa tajiri na very industrialized, sisi tumebaki masikini na hadi leo tukifanikiwa jambo dogo mno tunajipongeza hadi basi
Leo hii dunia nzima utakuta bidhaa za Wachina ( Xiaomi, Lenovo, Huawei, Hisense, BYD etc), Wakorea (Samsung, LG, nk), Wajerumani (Volkswagen), Wamarekani (Apple, Microsoft, HP, Dell), Wajapani (Sony, Play Station, Sharp Aquos, Toyota), Taiwan (Asus) nk lakini hautakuta makampuni ya Nigeria, Tanzania, Kenya, Uganda, Angola, Somalia nk
Miradi yetu mikubwa hapa Tanzania tunawapa Wachina na Waarabu waiongoze, kwamba sisi tunashindwa kuiongoza.
Sisi tuna mzaha hata na viongozi tunaowachagua. Kama kiongozi anawapa rasilimali watu wa nchi za nje bila hofu wala chembe ya uzalendo unadhani hao watu unaowapa hizo rasilimali wanakuonaje? In fact wanakuona kama zezeta ambalo halijali kuhusu nchi yake, na ndio la kulitumia kutajirisha nchi zao wao wanaojitambua.
Sisi karibia kila kitu tunaboronga. Kuanzia elimu, afya, kilimo, umeme, ajira, viwanda, usafirishaji, chakula, teknolojia, uchumi, maisha ya watu, uongozi, uchimbaji madini nk. Ni watu masikini, mafisadi, wala rushwa na tunapenda mno kujipongeza kwa achievements ndogo ambazo wenzetu walishafanikiwa miaka ya 1980s huko
Hivi hata wewe ukifikiria, kwa jinsi sisi watu weusi tulivyo nyuma kwenye kila kitu unadhani nani atatuheshimu? Ndio maana tunabaguliwa mno nchi za watu na watu wengi hawapendi black immigrants kwenye nchi zao. Sisi tunasikitisha sana.
It's painful but it's the truth. Katika human races zote duniani sisi ndio tunadhalilisha