Mind the N word...,Mkuu si umeuona mwili wa nigga???na nnavyowafaham black huwa hawakubari kirahisi kuwekwa chini ya ulinzi.
And he is Guilty of Being black , Always.for any circumstance, a blackman always is guilty!
Na bado endeleeni kumuabudu mzungu tu, mliposhindwa kujitambua mkaamua kucopy life style kuwa ya kizungu mlitegemea nini,
Black is slave mpaka mwisho wa dunia au mpaka siku mtapojitambua
Unajua ubaguzi hauwezi isha kamwe
Unajua ubaguzi hauwezi isha kamwe