dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,878
huna akili wewe,As long Anaukimwi Unapata Mkuu
rudi darasani, nyiye ndiyo wafamasia uchwara mnao over-dose wagonjwa
huna akili wewe,As long Anaukimwi Unapata Mkuu
Endelea kukaza Kichwa ,Nimekuonyesha na article unabishaUsikaze kichwa, kubali critics, nenda ukachimbe upya
By the way kama hujui, njia pekee ya kuambukizwa UKIMWI ni kupitia damu, tena either ile michubuko mikubwa wakati wa sex ama kupitia BT pekee, mengine yote sijui Saloon, kuji prick, sijui contact ya body fluids na ujinga mwingine ni ngumu sana kuambukizwa HIV
So hicho unachokisomea haujakijua vizuri bado, KASOME ZAIDI
Sisi wenye vibamia hatujuagii hii makitu.Mtoa mada kama ulivyokiri kuwa bado ni mwanafunzi na kweli hujajua hasa ukimwi ni nini, UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini sasa mtu anawezaje kumuambukiza mwenzie huo upungufu?
Pia kuhusu michubuko haupo sahihi, mimi natomba bila kukamia mechi mwaka wa 30 huu bila condom wala nini na sipati huo ugonjwa.
Swali mbona mwanaume ameathirika akimkojolea mwanamke mimba ikitungwa yule mtoto anakua HIV Negative na wakiwa makini kwenye kujifungua mtoto anazaliwa HIV negative hio imekaaje?Hana utaalam wowote kanjanja tu huyo, kimsingi huu ugonjwa wanaume ndio wenye nafasi kubwa ya kupunguza maambukizi.
Iko hivi, mwanaume mwenye virusi vya ukimwi akitembea kavukavu na mwanamke mzima ambaye hajaathirika akimkojolea hiyo ujuwe imoo lazima mwanamke apate maambukizi, sperm za mwanaume zinaambukiza ngoma wala hakuhitajiki mchubuko.
Lakini mwanaume mzima akitembea na mwanamke muathirika kavukavu na akamkojolea na bado anaweza kutoka salama, kwahiyo utaona hapo issue ya mchubuko inamuhusu mwanaume tu na siyo mwanamke.
Kama kuna kiumbe anatakiwa kujilinda zaidi na kushika bango la condom basi ni mwanamke ndio mwenye risk zaidi ya kuambukizwa na mwanaume.
Mwisho ifahamike si kila binadamu anaweza kuambukizwa ukimwi, inategemea na damu ya mtu na immunity zake, watu hao wanapatikana kwa wingi nchini Gambia.
Nadhani mfano umeuona hata kwenye corona ni virus pia, watu weupe virus zinawasumbuwa sana watu weusi wengi wao wanadunda tu.
Wengi tumeuguwa Corona zaidi ya mara moja na tumepona bila hata kujuwa kama ni corona, hapo issue ni immunity zetu kwa virus wa corona hawana madhara makubwa kwetu na huo ndio ukweli.
Baba mdogo upande wa ndugu yake na babu tulisomewa kwamba aliumwa na buibui mwenye sumu. Sitakaa nisahauTatizo kwenye historia fupi ya marehemu. Kigugumizi chake ndio utajua kuwa UKIMWI kwanini unaheshimika. Kona kona kibao
Ndio mtamu sasa kwenye utelezi,lakini tuvaeni Condom hali ni mbaya sana.maji maji ama UTE UTE
Hivi huyu jamaa yuko wapi?Wao wenyewe wanachanganywa huko vyuoni wanaposoma, kiasi kwamba wanakuja kutuelezea au kutufafanulia jambo ambalo hata kwao halipo clear.
Binafsi nitaendelea kumuamini Deception maana madokta wote walipoteana, na hakuna aliyeweza kutoa hoja za kueleweka mbele yake.
Hivi ukitoka kupiga ukanawa chap na maji baridi yenye sabuni inasaidia eehUsikaze kichwa, kubali critics, nenda ukachimbe upya
By the way kama hujui, njia pekee ya kuambukizwa UKIMWI ni kupitia damu, tena either ile michubuko mikubwa wakati wa sex ama kupitia BT pekee, mengine yote sijui Saloon, kuji prick, sijui contact ya body fluids na ujinga mwingine ni ngumu sana kuambukizwa HIV
So hicho unachokisomea haujakijua vizuri bado, KASOME ZAIDI
😂😂😂😂😂😂Hivi ukitoka kupiga ukanawa chap na maji baridi yenye sabuni inasaidia eeh
Nyie acheni ujinga bwana. Gonjwa ambalo mtu anaweza akadunda miaka 20 plus mnalipigia kelele kibao baadala ya magonjwa kama kisukari ambayo ukikosea kidogo tuu unayeya.Habari za usiku wanajamii Forums!
Actually Mimi ni mwanafunzi kwenye Field hizi za science kuna kitu Kinaniumiza Moyo Kuwa watu wengi Hawajui kuhusu Ukimwi.
Wengi wanazani Mtu Anapata ukimwi Pale ambapo Akimchubua Muathirika Wakati Anafanya naye Mapenzi, kihivi wengi wanaamini mtu akifanya mapenzi na Muathirika wa ukimwi Taratibu Bila Kuingiza kwa nguvu (bila msuguano mkali)Basi hawez kupata ukimwi .SIO UKWELI
Jamani Virusi vya ukimwi vinakaa kwenye ute ute wa mwanamke(Vaginal fluids) kwa maana hyo Mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke ambaye Ameathirika huo ute ute unapita Kwnye Mfereji wa mwanaume (male urethra) unaingia Then itapelekea na yeye kupata Ukimwi hata kama hakuna mchubuko Wowote.Hii kitu Watu wanachukulia poa sana.
Sio kwamba hukifanya polepole bila kumchubua ndo Hutapata ukimwi ni kwamba uliefanya naye hakuwa na Ukimwi.
Kama anaukimwi na ni ukweli hujapata baada ya kupima its Happens japo mara chache sana vipokezi (receptors )za ukimwi ziitwazo CCR5 zimepata mabadiliko (mutation) hivyo zinashindwa kusababisha ugonjwa ambapo hata ufanye mapenzi Na watu kumi wenye maradhi kwa pamoja Huwezi Kupata ukimwi, na watu ambao mabadiliko hayo uwapata ni asilimia kidogo ya watu kwa dunia nzima.
KUWA MAKINI UKIMWI NI MBAYA !!PITA WODI ZA WAGONJWA WA UKIMWI UTAELEWA. CHEZA SALAMA. USE PROTECTIONS
Maestro de Quimica !!OP
View attachment 2162314
Mamaaaa, twafwaaaaaa!!!!
Swali mbona mwanaume ameathirika akimkojolea mwanamke mimba ikitungwa yule mtoto anakua HIV Negative na wakiwa makini kwenye kujifungua mtoto anazaliwa HIV negative hio imekaaje?
Umesshampiga hennessy pori sio?semeni bas ukweli upo au haupo maana hapa nishapiga hanson choice 3 nikiwa na mrembo wangu wa wiki,ila nina ndom 3 kwen wallet