bablai2020
Senior Member
- Sep 5, 2020
- 149
- 373
Kuna kitu serikali inasahau sana .elimu ya matumizi sahihi ya taa za barabarani haswa kwa wapita kwa miguu..watu wengi wakishaona zebra wanahisi Wana haki ya kuvuka muda wowote hata taa hawaangalii..unakuta taa imewaka kijana lijitu linakatiza zebra utafikiri yuko chumbani kwakeSwali ni kwanini wavuke ilhali taa haziruhusu??