BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,853
Ajali hiyo imetokea leo asubuhi baada ya Dereva wa Pikipiki maarufu kama Bodaboda kuingia katika Barabara ya Mabasi Yaendayo Kasi (DART) kwenye Mataa ya kuelekea Lumumba karibu na Kituo cha Mwendokasi cha Fire na DIT Jijini Dar es Salaam.
Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam imethibitisha kifo pamoja na kutokea kwa ajali hiyo, ambapo imeeleza taarifa kamili itatolewa baadaye.
