Watu wawili ambao wanaweza kutuletea demokrasia na chaguzi huru sio wanasiasa!

Watu wawili ambao wanaweza kutuletea demokrasia na chaguzi huru sio wanasiasa!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,895
Kuna watu wawili ambao kesho wakienda kwenye TV au watoke na wasema maneno haya nchi hii tutakuwa na chaguzi huru na demokrasia. Watu hawa sio wanasiasa au wazee je wa hao ni nani na watasema nini

1. Mkuu wa majeshi atoke na aseme tena kwa upole sana. Aseme nchi yetu inapenda haki, nchi yetu na katiba yetu ni ya kidemokrasia jeshi la wananchi hakitakubaki chaguzi zisizo za huru na haki

2. Kadinali wa katoliki Protase Rugambwa. Huyu ni mkuu wa kanisa katoliki ambalo pamoja na waumini wengi ndilo kanisa lenye wekezaji mkubwa kuliko shirika lolote Tanzania la binafsi au la umma. Atoke aseme hivi

Kanisa kitatoa tamko kwa wakatoliki wote na wapenda imani kwamba wasishiriki chaguzi zozote kabla ya sheria kurekebishwa na kanisa litasimamisha shughuli zote nchini ambazo ni pamoja na mashule, mojospitali na mambo yote ya kanisa mpaka pale chaguzi ziwe za huru na haki

Kati ya hawa wawili wakitoka na kusema hivyo kesho hii nchi itabadilika. Hivyo tushinikize hawa wawili kufanya hivyo kwa maslahi ya taifa kabla nchi hii haijawa ya familia tatu
 
Mkuu wa majeshi mwenyewe ana apointiwa na rais kwaiyo hawezi sema kitu kinyume na matakwa ya bossi wake,

Askofu atapuuzwa kwa sababu ya wajinga walio wengi watasema ana chuki za kidini
 
Kuna watu wawili ambao kesho wakienda kwenye TV au watoke na wasema maneno haya nchi hii tutakuwa na chaguzi huru na demokrasia. Watu hawa sio wanasiasa au wazee je wa hao ni nani na watasema nini

1. Mkuu wa majeshi atoke na aseme tena kwa upole sana. Aseme nchi yetu inapenda haki, nchi yetu na katiba yetu ni ya kidemokrasia jeshi la wananchi hakitakubaki chaguzi zisizo za huru na haki
2. Kadinali wa katoliki Protase Rugambwa. Huyu ni mkuu wa kanisa katoliki ambalo pamoja na waumini wengi ndilo kanisa lenye wekezaji mkubwa kuliko shirika lolote Tanzania la binafsi au la umma. Atoke aseme hivi

kanisa kitatoa tamko kwa wakatoliki wote na wapenda imani kwamba wasishiriki chaguzi zozote kabla ya sheria kurekebishwa na kanisa litasimamisha shughuli zote nchini ambazo ni pamoja na mashule, mojospitali na mambo yote ya kanisa mpaka pale chaguzi ziwe za huru na haki

Kati ya hawa wawili wakitoka na kusema hivyo kesho hii nchi itabadilika. Hivyo tushinikize hawa wawili kufanya hivyo kwa maslahi ya taifa kabla nchi hii haijawa ya familia tatu
Comrade, kwenye hiyo namba 2 nilitaka kuweka tu kumbukumbu sawa. Mwadhama Kardinali Protas Rugambwa siyo Mkuu wa Kanisa Katoliki nchini. Kardinali ni kama Waziri/Paroko kule Vatican, huku Papa akiwa ni Rais/Askofu. (Yaani kwa ufupi Kardinali ni mshauri wa Papa kule Vatican, nsla siyo mkuu wa Kanisa Katoliki kwenye chi anayotoka)

Kwa Tanzania, chombo chenye mamlaka ya juu ni Baraza la Maaskofu (TEC), chini ya rais wake ambaye huchaguliwa kila baada ya miaka kadhaa. Hawa wakitoa tamko, huwa linawahusu Wakatoliki wote, na linakuwa na nguvu ya kimamlaka.
 
Kuna watu wawili ambao kesho wakienda kwenye TV au watoke na wasema maneno haya nchi hii tutakuwa na chaguzi huru na demokrasia. Watu hawa sio wanasiasa au wazee je wa hao ni nani na watasema nini

1. Mkuu wa majeshi atoke na aseme tena kwa upole sana. Aseme nchi yetu inapenda haki, nchi yetu na katiba yetu ni ya kidemokrasia jeshi la wananchi hakitakubaki chaguzi zisizo za huru na haki
2. Kadinali wa katoliki Protase Rugambwa. Huyu ni mkuu wa kanisa katoliki ambalo pamoja na waumini wengi ndilo kanisa lenye wekezaji mkubwa kuliko shirika lolote Tanzania la binafsi au la umma. Atoke aseme hivi

kanisa kitatoa tamko kwa wakatoliki wote na wapenda imani kwamba wasishiriki chaguzi zozote kabla ya sheria kurekebishwa na kanisa litasimamisha shughuli zote nchini ambazo ni pamoja na mashule, mojospitali na mambo yote ya kanisa mpaka pale chaguzi ziwe za huru na haki

Kati ya hawa wawili wakitoka na kusema hivyo kesho hii nchi itabadilika. Hivyo tushinikize hawa wawili kufanya hivyo kwa maslahi ya taifa kabla nchi hii haijawa ya familia tatu
Hao... Sidhani... Sijui...! Sina hakika...!!!!
 
Huenda na huko kwenye Majeshi wanamtandao wapo! Labda RC
 
Kuna watu wawili ambao kesho wakienda kwenye TV au watoke na wasema maneno haya nchi hii tutakuwa na chaguzi huru na demokrasia. Watu hawa sio wanasiasa au wazee je wa hao ni nani na watasema nini

1. Mkuu wa majeshi atoke na aseme tena kwa upole sana. Aseme nchi yetu inapenda haki, nchi yetu na katiba yetu ni ya kidemokrasia jeshi la wananchi hakitakubaki chaguzi zisizo za huru na haki
2. Kadinali wa katoliki Protase Rugambwa. Huyu ni mkuu wa kanisa katoliki ambalo pamoja na waumini wengi ndilo kanisa lenye wekezaji mkubwa kuliko shirika lolote Tanzania la binafsi au la umma. Atoke aseme hivi

kanisa kitatoa tamko kwa wakatoliki wote na wapenda imani kwamba wasishiriki chaguzi zozote kabla ya sheria kurekebishwa na kanisa litasimamisha shughuli zote nchini ambazo ni pamoja na mashule, mojospitali na mambo yote ya kanisa mpaka pale chaguzi ziwe za huru na haki

Kati ya hawa wawili wakitoka na kusema hivyo kesho hii nchi itabadilika. Hivyo tushinikize hawa wawili kufanya hivyo kwa maslahi ya taifa kabla nchi hii haijawa ya familia tatu

Hizo option zote mbili zitahujumu taifa hili, ni mbaya
 
Kwahiyo Waislamu wao hawawezi kuwaletea demokrasia Watanzania?

Hiyo para ya pili inatufanya tunaamini wale wanaisema shida ni Kila Muislamu anapokuwa RAIS ndio haya hutokea.

Ndani ya mitaa ya Benghazi Libya.
 
Kuna watu wawili ambao kesho wakienda kwenye TV au watoke na wasema maneno haya nchi hii tutakuwa na chaguzi huru na demokrasia. Watu hawa sio wanasiasa au wazee je wa hao ni nani na watasema nini

1. Mkuu wa majeshi atoke na aseme tena kwa upole sana. Aseme nchi yetu inapenda haki, nchi yetu na katiba yetu ni ya kidemokrasia jeshi la wananchi hakitakubaki chaguzi zisizo za huru na haki
2. Kadinali wa katoliki Protase Rugambwa. Huyu ni mkuu wa kanisa katoliki ambalo pamoja na waumini wengi ndilo kanisa lenye wekezaji mkubwa kuliko shirika lolote Tanzania la binafsi au la umma. Atoke aseme hivi

kanisa kitatoa tamko kwa wakatoliki wote na wapenda imani kwamba wasishiriki chaguzi zozote kabla ya sheria kurekebishwa na kanisa litasimamisha shughuli zote nchini ambazo ni pamoja na mashule, mojospitali na mambo yote ya kanisa mpaka pale chaguzi ziwe za huru na haki

Kati ya hawa wawili wakitoka na kusema hivyo kesho hii nchi itabadilika. Hivyo tushinikize hawa wawili kufanya hivyo kwa maslahi ya taifa kabla nchi hii haijawa ya familia tatu
Huwezi kuletewa uchaguzi huru... unatakiwa udai na uhakikishe kuna uchaguzi huru... Wabongo tunapenda kufanyiwa kila kitu
 
Kuna watu wawili ambao kesho wakienda kwenye TV au watoke na wasema maneno haya nchi hii tutakuwa na chaguzi huru na demokrasia. Watu hawa sio wanasiasa au wazee je wa hao ni nani na watasema nini

1. Mkuu wa majeshi atoke na aseme tena kwa upole sana. Aseme nchi yetu inapenda haki, nchi yetu na katiba yetu ni ya kidemokrasia jeshi la wananchi hakitakubaki chaguzi zisizo za huru na haki
2. Kadinali wa katoliki Protase Rugambwa. Huyu ni mkuu wa kanisa katoliki ambalo pamoja na waumini wengi ndilo kanisa lenye wekezaji mkubwa kuliko shirika lolote Tanzania la binafsi au la umma. Atoke aseme hivi

kanisa kitatoa tamko kwa wakatoliki wote na wapenda imani kwamba wasishiriki chaguzi zozote kabla ya sheria kurekebishwa na kanisa litasimamisha shughuli zote nchini ambazo ni pamoja na mashule, mojospitali na mambo yote ya kanisa mpaka pale chaguzi ziwe za huru na haki

Kati ya hawa wawili wakitoka na kusema hivyo kesho hii nchi itabadilika. Hivyo tushinikize hawa wawili kufanya hivyo kwa maslahi ya taifa kabla nchi hii haijawa ya familia tatu
Ulivyo na upungufu wa maarifa unadhani Kadinali ana mamlaka ya Kikanisa kwa Taifa zima la Tanzania kitu ambacho sio sahihi.

Muwe mnauliza kwanza kabla ya kukimbilia kuandika mambo ambayo hamna uelewa nayo wa kutosha.
 
Mkuu wa majeshi mwenyewe ana apointiwa na rais kwaiyo hawezi sema kitu kinyume na matakwa ya bossi wake,

Askofu atapuuzwa kwa sababu ya wajinga walio wengi watasema ana chuki za kidini

Appointments sio chochote ameapa kwa taifa wakuu wote wa majeshi wanachaguliwa na Raisi lakini swali la msingi wanajeshi wako nyuma yake?
 
Back
Top Bottom