Panaitwa machinjioni......wangekweka round about at leastAisee hii ni habari mbaya sana yakuanza nayo week. Vyombo vinavyohusika wajaribu kuangalia chakufanya ili kuweza kuzuia ajali kama hizi future.
Panaitwa machinjioni......wangekweka round about at leastAisee hii ni habari mbaya sana yakuanza nayo week. Vyombo vinavyohusika wajaribu kuangalia chakufanya ili kuweza kuzuia ajali kama hizi future.
Hongera serikali ya ccm kwa idadi ndogo ya waliokufa kwenye hii ajaliChanzo ni nn?
Uchaguzi sasa,duuMachinjioni hapo pameanza tena
chanzo cha ajali ni nn mkuu!!
Ilikuwa mwaka gani? Naweza kuwa namfahamuOhooo pale noma kuna siku nilishuhudia bodaboda mmoja aliburuzwa chini ya uvungu wa basi cha ajabu akatoka mzima kavaa koti lake pana ajabu mpaka wale trafiki wakabaki wanacheka yani maana raia tulishahesabu.
Ikabidi akapumzishwe kwenye kile kibanda chao alafu jamaa atakuwa mkigoma yule si bure.
Mi nashauri Ma dereva wote wa Daladala warudi shule,maana sasa hivi DAR kuna mabarabara mapya tena ya kisasa!! Sizani Kama wanajua kutumia hizo alama mpya za barabarani!Muda mwingine huwa inatokea madereva huwa wanakaza mwendo wenyewe wanasema "wanavuta kuwahi mataa"
Weka namba ya m-pesaWanaCCM Wote tuungane pamoja kuwachangia majeruhi ili wapate Huduma bora
Ilikuwa mwaka jana mkuu,ila pale boda boda wanapata sana ajali kutokana na presha ya wale askari wanaokamata madereva wa boda boda wanaokatiza eneo lile,wale jamaa ni kama wanavizia vile.Ilikuwa mwaka gani? Naweza kuwa namfahamu
Kwani kigoma wakoje mkuu??ohooo pale noma kuna siku nilishuhudia boda boda mmoja aliburuzwa chini ya uvungu wa basi cha ajabu akatoka mzima kavaa koti lake pana ajabu mpaka wale trafiki wakabaki wanacheka yani maana raia tulishahesabu.
Ikabidi akapumzishwe kwenye kile kibanda chao alafu jamaa atakuwa mkigoma yule si bure.
Daladala drivers wana maudhi sana. Huu no uuaji wa kuamuaNimemsikia Kamanda Mambosasa akisema chanzo ni Dereva wa Daladala kulazimisha kuvuka taa nyekundi!! Na amekimbia!
Huu ushauri wako sikubaliani nao moja kwa moja kwa sababu udereva ni ule ule tu isipokuwa wanatakiwa kuongezewa uelewa kwenye matumizi ya alama za barabarani, na hii ni kutokana na kuongezeka kwa baadhi ya alama za barabarani.Mi nashauri Ma dereva wote wa Daladala warudi shule,maana sasa hivi DAR kuna mabarabara mapya tena ya kisasa!! Sizani Kama wanajua kutumia hizo alama mpya za barabarani!!
Poleni sana wafiwa ndg na jamaa popote walipo mwenyezi mungu azilaze roho za marehemu mahali Pema peponi.Huu ushauri wako sikubaliani nao moja kwa moja kwa sababu udereva ni ule ule tu isipokuwa wanatakiwa kuongezewa uelewa kwenye matumizi ya alama za barabarani, na hii ni kutokana na kuongezeka kwa baadhi ya alama za barabarani.