The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,926
- 4,938
Mie ukishajiroga tu uanze Kuni bluetick masikin yako hiyo ego yako itakuponza nasubiri ukwame kwenye shida muhimu then na kuignore utajua hujuii [emoji1][emoji1]Nimekusoma vema mkuu. Hii tabia inakera hasa unamtext mtu unaona blue tick lakini hajibu na kila dakika yuko online. Kuna mmoja aliwahi kuweka status ya kujiwish happy birthday nikareply Happy birthday to you brother. Mpaka mwakani hajawahi kujibu ile comment na hiyo ilikuwa january mwaka jana. Nilipoona hivo nikamblock pande zote. Akiwa na shida na mimi lazima anifuate physically maana hata akitumia simu ya mtu nikijua ni yeye huwa namjibu niko busy aje nyumbani. Zipo sababu zilizonifanya niwe hivo hiyo nimojawapo.