Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
Hawapost hovyo wala hawaweki status kwenye mitandao Mara kwa Mara na hawaangalii status za watu na wako online anytime je haya yana ukweli wanajiheshimu/wanadharau? Na watu kama hawa mnawakabilije mtandaoni?
N:b hawa ni wa WhatsApp, fb na Instagram
#stayhome #coronaSent using Jamii Forums mobile app
N:b hawa ni wa WhatsApp, fb na Instagram
#stayhome #coronaSent using Jamii Forums mobile app