Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,018
Job positions: 10
Job interviewees: 10,000
Walio honga na uhakika wa kazi: 4
So mtu ana spend miaka 3 au minne chuo akiwa mindset ya kuajiriwa na status ya u-professional.
Anatoka huko anakuja mtaani anakutana na ukweli mchungu, ana spend 5 to 6 years hajui anaelekea wapi. Kama nilivyotaja hapo juu mtu anatoka chuo na status ya u-proffesional ambao inapelekea wengi wao kuto fanya vikazi vya kibarua, anaona anashusha hadhi yake ya degree holder.
So kinachofatia kwa kuwa anajua ku-type computer, ana exposure ya ulimwengu, anajua kiingereza, amejifunza nguvu ya ushawishi chuoni, etc unakuta sasa ni kuingia mtandaoni na kuazisha hizi cyber cartels za upigaji.
Ndio hio unakuta mara mtu ni boy ila anajifanya kahaba mtandaoni anakula nauli za watu, mara mtu anatengeneza false profile ya duka la mtandao, false profiles za mikopo ya mtandaoni, hackers, etc
Job interviewees: 10,000
Walio honga na uhakika wa kazi: 4
So mtu ana spend miaka 3 au minne chuo akiwa mindset ya kuajiriwa na status ya u-professional.
Anatoka huko anakuja mtaani anakutana na ukweli mchungu, ana spend 5 to 6 years hajui anaelekea wapi. Kama nilivyotaja hapo juu mtu anatoka chuo na status ya u-proffesional ambao inapelekea wengi wao kuto fanya vikazi vya kibarua, anaona anashusha hadhi yake ya degree holder.
So kinachofatia kwa kuwa anajua ku-type computer, ana exposure ya ulimwengu, anajua kiingereza, amejifunza nguvu ya ushawishi chuoni, etc unakuta sasa ni kuingia mtandaoni na kuazisha hizi cyber cartels za upigaji.
Ndio hio unakuta mara mtu ni boy ila anajifanya kahaba mtandaoni anakula nauli za watu, mara mtu anatengeneza false profile ya duka la mtandao, false profiles za mikopo ya mtandaoni, hackers, etc