my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Mimi huwa najiuliza ga hivi mnaoenda club au tamasha ya mziki ni huwa mnafuata starehe au kuna vitu vingine mnafuata. Mimi nilijaribu siku moja tu nikasema haitakuja kutokea tena kuja maeneo kama haya maana kuna kelele hadi mtu unahisi kuzimia. Lakini nashangaa kuna watu wengine kila weekend wa naenda club. Sijui huwa wanafuata nini maana kama starehe kukaa nyumbani ku watch movie au kuenda kupumzika sehemu ya utulivu ni starehe nzuri kuliko yale makele ya kule club. Mimi sipendi tu zile kelele za mziki zinazo changanyika na sauti za watu za hovyo. Hivi ni kweli mnapata starehe kule?