Watu wanao endaga club

Watu wanao endaga club

Club acha kabisa Mkuu mie mpaka wanafunga na muda wote utanikuta kwenye dancing floor nafanya yangu. Nikitoka hapo roho yangu kwatuuuu nyeupeee. Acha kabisa Mkuu halafu ukutane na DJ anajua kupanga debe.









Kasie mnyamwezi njoo huku umwage radhi zako.



Hahahahahaaa you know what BAK, goose pimples on..... Black Box umenikumbusha mbalii, kuruka majoka bila kujali wapi utakanyaga....

Thanks man.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
I can’t wait for this weekend 😋😋😋



Heheheheheheh sema BAK Mmatumbii aahahahahahaa

Friday is coming feels like krisskross jump jump....



Heheheee
 
Na wala huombi samahani😂😂😂😂

Hahahahahaaa you know what BAK, goose pimples on..... Black Box umenikumbusha mbalii, kuruka majoka bila kujali wapi utakanyaga....

Thanks man.
 
Na wala huombi samahani😂😂😂😂


Hahahahahhaaa na kumsukuma mtu wakati unacheza akija juu unatia ilikuwa bamping aahahahahahahaaaa

Those were the days.....
 
Mimi huwa najiuliza ga hivi mnaoenda club au tamasha ya mziki ni huwa mnafuata starehe au kuna vitu vingine mnafuata. Mimi nilijaribu siku moja tu nikasema haitakuja kutokea tena kuja maeneo kama haya maana kuna kelele hadi mtu unahisi kuzimia. Lakini nashangaa kuna watu wengine kila weekend wa naenda club. Sijui huwa wanafuata nini maana kama starehe kukaa nyumbani ku watch movie au kuenda kupumzika sehemu ya utulivu ni starehe nzuri kuliko yale makele ya kule club. Mimi sipendi tu zile kelele za mziki zinazo changanyika na sauti za watu za hovyo. Hivi ni kweli mnapata starehe kule?
One safari leads to another, kwenye mziki kuna mambo mengi," biashara,wizi,utapeli,ukahaba na mengineyo. huna budi kuzikubali kelele maana ndio kivutio.
 
kuangalia movie mkuu sio mpaka iwe home sikuiz kuna ma sinemax ni wewe tu na hobie yako ya matumizi ya ela
yes hiyo wewe na hobbie yako mtu kweli maana mi movie cinemax hapana kabisa, ntaenda kwingine kufanya kitu kingine tu .....
 
Heheheheheheh sema BAK Mmatumbii aahahahahahaa

Friday is coming feels like krisskross jump jump....



Heheheee

hizi pini ni balaa enzi za Mwalimu Mwinyi na Mkapa....90's kid kama sisi tunaelewa full kushika lyrics kuchana
 
"wengine club Kila mwisho wa wiki ..Haina maana nafuata tu mziki .."-ngwair(Sikiliza truck ,back then)
 
Back
Top Bottom