Watu wanahama Dar si mchezo, kuna nini huko?

Watu wanahama Dar si mchezo, kuna nini huko?

mwingine alikuja na plan A lakini baada ya muda fulani akaona pln A imefeli wewe unadhani hata kama ungekuwa wewe ungefanyaje jamani
 
View attachment 511953

Binafsi nina ndugu zangu watatu ambao wameamua kurudi nyumbani baada
ya Maisha ya Dar kuwashinda, sio Jambo la kushangaza lakini tatzo safari hii
imekuwa too much Ukiacha hao kuna watu kadhaa ambao waliadimika kwa
miaka mingi nao wanarejea nyumbani mbaya zaidi wengine wamekuwa wakifanya
fujo kugombea mashamba na mali nyingine za urithi ambazo hapo mwanzo
hawakuwa na mpango nazo. Kunani Dar kwanini watu wanalikimbia jiji?
Wanarudi Newala. Wapeni mashamba
 
kwa kuwa ndugu zako wamehama basi unachukulia ni nchi nzima.
 
Umejaribu kuwaulizia ndugu zako waliorudi? Maana raia wengi wanaingia tu mjini kama kawa
Mi naona tu wengine wanagombea mali za urithi wengine wanasema
wamekuja kupumzika lakini wamerudi na karibu kila kitu mpaka magodoro
wake zao na watoto wanawahangaikia uhamisho
 
Back
Top Bottom