Watu wanahama Dar si mchezo, kuna nini huko?

Watu wanahama Dar si mchezo, kuna nini huko?

Kidumu au kidume? Juzi nimekutana na sistadu moja aliyeondoka kijijini miaka 12 iliyopita baada ya kupata buzi dar, anafanya uchuuzi wa vitenge na kanga na anataka kurudi kijijini, nimemuuliza kulikoni kasema jamaa mkorofi wakati najua jamaa mirija imebuma. Nilimwahidi nitampa heka mbili za kulima viazi, ili apauke vizuri na vijana wa poti wamzukie na kumwoa. Kazi tu hapa, vi appartment, harrier, ist nk sasa hivi hakuna wahongaji, akitaka bia ni mtindo wa bingwa,mzinga wa konyagi au balimi tu, akitaka henken/windhoek apuyange zake huko.
keh keh keh, safari hii za buku buku ni za kumwaga...!!!
 
View attachment 511953

Binafsi nina ndugu zangu watatu ambao wameamua kurudi nyumbani baada
ya Maisha ya Dar kuwashinda, sio Jambo la kushangaza lakini tatzo safari hii
imekuwa too much Ukiacha hao kuna watu kadhaa ambao waliadimika kwa
miaka mingi nao wanarejea nyumbani mbaya zaidi wengine wamekuwa wakifanya
fujo kugombea mashamba na mali nyingine za urithi ambazo hapo mwanzo
hawakuwa na mpango nazo. Kunani Dar kwanini watu wanalikimbia jiji?
Kiongozi wa kaya alisema mpaka ikifika mwezi wa sita upo mjini Basi huondoki tena
 
Dar es salaam kwa sasa si mahali salama pakuishi, uhalifu na mauaji yasiyo na ushahidi unaifanya Dar Es Salaam kuwa eneo hatarishi kwa maisha ya watafutaji..

Kuna tuhuma nyingi zinazoendelea kulikumba jeshi la kanda maalum ya DSM kuwa wanaua raia wasio na hatia kwa kisingizio kuwa wana mahusiano na uhalifu / wahalifu..
 
Hao watakuwa wapiga deal kwa mujibu wa JPM
 
Mkuu yule alidai kuwa Jiji in lake na anaweza kuwafukuza wakaondoka na ndala,sasa wamejawa hofu
 
View attachment 511953

Binafsi nina ndugu zangu watatu ambao wameamua kurudi nyumbani baada
ya Maisha ya Dar kuwashinda, sio Jambo la kushangaza lakini tatzo safari hii
imekuwa too much Ukiacha hao kuna watu kadhaa ambao waliadimika kwa
miaka mingi nao wanarejea nyumbani mbaya zaidi wengine wamekuwa wakifanya
fujo kugombea mashamba na mali nyingine za urithi ambazo hapo mwanzo
hawakuwa na mpango nazo. Kunani Dar kwanini watu wanalikimbia jiji?
Umejaribu kuwaulizia ndugu zako waliorudi? Maana raia wengi wanaingia tu mjini kama kawa
 
View attachment 511953

Binafsi nina ndugu zangu watatu ambao wameamua kurudi nyumbani baada
ya Maisha ya Dar kuwashinda, sio Jambo la kushangaza lakini tatzo safari hii
imekuwa too much Ukiacha hao kuna watu kadhaa ambao waliadimika kwa
miaka mingi nao wanarejea nyumbani mbaya zaidi wengine wamekuwa wakifanya
fujo kugombea mashamba na mali nyingine za urithi ambazo hapo mwanzo
hawakuwa na mpango nazo. Kunani Dar kwanini watu wanalikimbia jiji?
Kama kuhamia DOM.
Pia na wananchi inabidi wajiongeze kila MTU kwao.
 
Alisema apo awali mkuu , ikifika mwezi wa saba mtakuwa mmenyooka na dar mtaikimbia mrudi kulima makwenu
 
Dateline ya magu imefika only the strongest will survive in Dar
 
View attachment 511953

Binafsi nina ndugu zangu watatu ambao wameamua kurudi nyumbani baada
ya Maisha ya Dar kuwashinda, sio Jambo la kushangaza lakini tatzo safari hii
imekuwa too much Ukiacha hao kuna watu kadhaa ambao waliadimika kwa
miaka mingi nao wanarejea nyumbani mbaya zaidi wengine wamekuwa wakifanya
fujo kugombea mashamba na mali nyingine za urithi ambazo hapo mwanzo
hawakuwa na mpango nazo. Kunani Dar kwanini watu wanalikimbia jiji?
Wameamua kutii kauli ya mkuu wa nchi bana ,maana alisema kuwa mpaka mwezi wa saba atakae endelea kuishi dar ni mwanaume wa shoka
 
Mkulu alisema atakae baki mpaka mwezi wa saba mwanaume, waambie hao ndugu zako warudi dar mwezi wa saba bado haujafika.
 
Back
Top Bottom