MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Wanamkimbia bashite
Ha ha ha Mkuu hii ni Image tu ili kuleta picha ya kuhamaKwa hiyo unataka kuniambia woote hawa wanakimbilia kibiti na ikwiriri.View attachment 511952
Lile la kuhamia dodomaKuna agizo linawataka watu kuhama Dar?
Ungeandika bac picha hii haiusiani na habar hii.Sawa picha ni ya wakimbizi ambayo imepamba tu kuonyesha tendo la kuhama
ndio maana sijasema kuwa hawa wanatoka Dar kwenda sehemu fulani.
Vitu gani unavioata bure huko kwenuNibora nyumban Kwan kuna baadhi ya vitu unavipata hata bure tu lakin dsm teh kipi cha bure ndg.
Hao walijua na wanajua wanachokifanya toka zaman ndg...acha mboyoyo wewe,
..Dar watu wanasebenza tu kama zamani!
Kweli bana atuambie twende huko kwao manake life la huku daahVitu gani unavioata bure huko kwenu

View attachment 511948
Binafsi nina ndugu zangu watatu ambao wameamua kurudi nyumbani baada
ya Maisha ya Dar kuwashinda, sio Jambo la kushangaza lakini tatzo safari hii
imekuwa too much Ukiacha hao kuna watu kadhaa ambao waliadimika kwa
miaka mingi nao wanarejea nyumbani mbaya zaidi wengine wamekuwa wakifanya
fujo kugombea mashamba na mali nyingine za urithi ambazo hapo mwanzo
hawakuwa na mpango nazo. Kunani Dar kwanini watu wanalikimbia jiji?
Tutaofika mwezi wa nane ndo tunastahili kubaki Dar, kasikilize Remmy Ongala narudi nyumbani, Dar sio mchezo.View attachment 511948
Binafsi nina ndugu zangu watatu ambao wameamua kurudi nyumbani baada
ya Maisha ya Dar kuwashinda, sio Jambo la kushangaza lakini tatzo safari hii
imekuwa too much Ukiacha hao kuna watu kadhaa ambao waliadimika kwa
miaka mingi nao wanarejea nyumbani mbaya zaidi wengine wamekuwa wakifanya
fujo kugombea mashamba na mali nyingine za urithi ambazo hapo mwanzo
hawakuwa na mpango nazo. Kunani Dar kwanini watu wanalikimbia jiji?
Nimeedit mkuu nilitafuta tu picha ya mfano, lakini hiyo ni ya wakongoMkuu una maana gani kutuwekea Picha ya Wakimbizi wa Kinyarwanda na Kiburundi ambao walikuwa wakikimbia mauaji ya Kimbari ya 1994 halafu unahusisha na kutudanganya kuwa hao ni wana Dar es Salaam wana hama mji? Kwanini unatukumbusha ' machungu ' ya Mauaji ya Kimbari ya 1994?
Hakuna wa kuwatumbua bali wanajitumbua wao baada ya kukosa hela ya kijanja janja,kimkato mkato na kidili dili kukidhi mahitaji yao na ziada ya kula bata batani. Heshima itarudi tu mtaani kama bado unadhani haijarudi, hahahahaaaaaaa!!Wanahofia kutumbuliwa kwan hawana kazi maalumu
Inawezekana mkuu maana huyu mmoja alikuwa Dalali mzuri sana.Hakuna wa kuwatumbua bali wanajitumbua wao baada ya kukosa hela ya kijanja janja,kimkato mkato na kidili dili kukidhi mahitaji yao na ziada ya kula bata batani. Heshima itarudi tu mtaani kama bado unadhani haijarudi, hahahahaaaaaaa!!