nipe no ya huyo bibi!!
Huyo bibi yeye utajiri hautaki? Anaugawa kwa wengine tu???
Wafanyabiashara wakubwa wa maduka ya jumla katika Miji ya Arusha, Mwanza, Musoma, Bariadi, Shinyanga, kahama, Nzega na Igunga wamefika kwa bibi huyo.
[/SIZE]
Wakuu salamu.
Idadi kubwa ya watu wanamiminika kwenda Wilaya ya Meatu Kata ya Mwandoya kwa bibi kupata Ndagu ya utajiri.
Watu kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini, wakiwemo wafanya biashara, wafanyakazi, wakulima na wafugaji wamefika kwa bibi huyo kupewa dawa ya utajiri.
Wafanyabiashara wakubwa wa maduka ya jumla katika Miji ya Arusha, Mwanza, Musoma, Bariadi, Shinyanga, kahama, Nzega na Igunga wamefika kwa bibi huyo.
Waliofanikiwa wanarudi na magari, mabati na pesa za shukrani kumshukuru bibi huyo.
Hivi huwezi kupata utajiri mpaka utumie ushirikina?
tutaenda lini ndugu!!!!!Weka picha
tutaenda lini ndugu!!!!!
Hey, days sikuoni. Are you ok?
...yale yasiyowezeka katika nchi nyingine Tanzania yanafanyika...
...yale yasiyowezeka katika nchi nyingine Tanzania yanafanyika...