mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,169
Wakuu salamu.
Idadi kubwa ya watu wanamiminika kwenda Wilaya ya Meatu Kata ya Mwandoya kwa bibi kupata Ndagu ya utajiri.
Watu kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini, wakiwemo wafanya biashara, wafanyakazi, wakulima na wafugaji wamefika kwa bibi huyo kupewa dawa ya utajiri.
Wafanyabiashara wakubwa wa maduka ya jumla katika Miji ya Arusha, Mwanza, Musoma, Bariadi, Shinyanga, kahama, Nzega na Igunga wamefika kwa bibi huyo.
Waliofanikiwa wanarudi na magari, mabati na pesa za shukrani kumshukuru bibi huyo.
Hivi huwezi kupata utajiri mpaka utumie ushirikina?
Ccm imeshikwa kubaya kila siku swaga mpya