Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 687
- 1,360
Unakuta mtu kazaliwa na wazazi wastaarabu na wenye dini lakini baada ya kuyajua ya ke na me(mapenzi) mtu huyo anawakana hadi wazazi kwa tabia mbovu na za kishenzi kwa kisingizio cha usasa
Wengi wetu tumezaliwa na familia duni na za kawaida kiasi ila baada ya kuyajua ya duniani mtu anaacha ya kwao kwa kigezo cha usasa na kuanza kuvaa vichupi na kukaa uchi tafauti na alivyo lelewa.
Hata waliozaliwa katika utajiri bado familia zao hazikuwa nyuma kuwalea katika maadili lakini badala yake wakawapuuza wazazi kwa kisingizio cha usasa
Wazazi wengi wanashindwa kuwalea watoto katika maadili kwa kisingizio cha usasa badala yake watoto wanakuwa wapumbavu, watembea uchi na wagawaji kiholela na wavuta bangi ilhali wazazi hao wapo stable kimaadili na kiuchumi pia
Matokeo yake jamii imekuwa haiangaliki, haishauriki na haitamaniki kwa uovu na ukahaba uliopitiliza unaochagizwa na uvaaji wa nguo fupi na tabia mbovu mbovu za vijana na watu wazima kwa kisingizio cha usasa baada ya kushindwa kwa uwajibikaji wa wazazi kwenye famila zao hatimae kuiharibu jamii kwa ujumla.
Wengi wetu tumezaliwa na familia duni na za kawaida kiasi ila baada ya kuyajua ya duniani mtu anaacha ya kwao kwa kigezo cha usasa na kuanza kuvaa vichupi na kukaa uchi tafauti na alivyo lelewa.
Hata waliozaliwa katika utajiri bado familia zao hazikuwa nyuma kuwalea katika maadili lakini badala yake wakawapuuza wazazi kwa kisingizio cha usasa
Wazazi wengi wanashindwa kuwalea watoto katika maadili kwa kisingizio cha usasa badala yake watoto wanakuwa wapumbavu, watembea uchi na wagawaji kiholela na wavuta bangi ilhali wazazi hao wapo stable kimaadili na kiuchumi pia
Matokeo yake jamii imekuwa haiangaliki, haishauriki na haitamaniki kwa uovu na ukahaba uliopitiliza unaochagizwa na uvaaji wa nguo fupi na tabia mbovu mbovu za vijana na watu wazima kwa kisingizio cha usasa baada ya kushindwa kwa uwajibikaji wa wazazi kwenye famila zao hatimae kuiharibu jamii kwa ujumla.