Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,777
- 50,232
MANDI auAisee leo Nilikuwa maeneo hayo kwa Mawinga wa simu Nilikuwa nabadilisha protector 🤣🤣🤣
Pale kwenye mgahawa wanapika vitu yummy yummy 😋😋😋
Kuna dogo anaitwa Maboko hapo 😂😂😂
MANDI auAisee leo Nilikuwa maeneo hayo kwa Mawinga wa simu Nilikuwa nabadilisha protector 🤣🤣🤣
Pale kwenye mgahawa wanapika vitu yummy yummy 😋😋😋
Kuna dogo anaitwa Maboko hapo 😂😂😂
Bro huo ndo ule ule mtaa uliona ng'ombe juu ya bati???Ety nimepita sehemu nimekuta mtu kajilaza pembezoni mwa njia za mwendokasi anajichukulia sheria mkononi 😂
Uzi bado!!
hapo kuna mtu alikuwa anamvutia hisia ili akojoeYule alikuwa anafumbia macho kwa hisia
Ndio nimemuuliza huyu Joanah maana haya maisha yanavyoenda less ni balaa tarehe 6 June Nilikuwa na kilo 63 juzi nimepima nimejikuta nina kilo 58
Kila ninayemwona ni wife material analeta nyuzi za namna hii, naomba mnishauri!Ety nimepita sehemu nimekuta mtu kajilaza pembezoni mwa njia za mwendokasi anajichukulia sheria mkononi 😂
Uzi bado!!
🤣🤣Huku Piga picha? 📸
Bestie Joanah , Kama kweli huyo jamaa alikuwa anafanya hivyo huenda ana matatizo ya akili.
Hivi mambo yote yanayoendelea hii Nchi bado ana nye****za kijinga hivyo?
joanah nakufananishaga na mrembo mmoja hivi amegomaga kutoka akiliniEty nimepita sehemu nimekuta mtu kajilaza pembezoni mwa njia za mwendokasi anajichukulia sheria mkononi 😂
Uzi bado!!
Wewe ndo unapajua wanapopatikana mimi sijui 😆😆😂😂😂😂 hata wee unaweza mconectia mwanetuu. Lol
Joanah Mwambie akacheze anapo chezaga, cause I will always be ❤️😊.Am taken mkuu
Labda uongee vizuri na Intelligent businessman 😂
Kumbe huyu ndio shemeji?Am taken mkuu
Labda uongee vizuri na Intelligent businessman 😂
Mkiombwa hamtoi sasa tufanyeje??Ety nimepita sehemu nimekuta mtu kajilaza pembezoni mwa njia za mwendokasi anajichukulia sheria mkononi 😂
Uzi bado!!
Kawaidah tu mbn watu wanaiba wazi kabisaEty nimepita sehemu nimekuta mtu kajilaza pembezoni mwa njia za mwendokasi anajichukulia sheria mkononi 😂
Uzi bado!!