Watu wamedata !!!

Watu wamedata !!!

Sikupiga picha manake nimestuka mixer kushangaa kuona mtu kalala chali vile barabarani mkono upo ndani ya suruali huku kafumba macho ๐Ÿ˜‚

Sijui kichaa yule
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nimechekaa km chizi vilee. Lol
 
Pale kati kati ya kituo cha msimbazi A na B yupo jamaa alikua akimaliza misele yake anaenda pale anakiwasha weeee wakaja(ga) kumtimua
Aisee leo Nilikuwa maeneo hayo kwa Mawinga wa simu Nilikuwa nabadilisha protector ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Pale kwenye mgahawa wanapika vitu yummy yummy ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹

Kuna dogo anaitwa Maboko hapo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom