Watu walio na midomo iliyo babuka

Watu walio na midomo iliyo babuka

Katika kila watanzania kumi,sita midomo yao imebabuka, kwahiyo huwezi kutukwepa kila sehemu tupo, konda anayepokea nauli yako, mdomo babuka. Dereva wa bodaboda alikubeba mdomo babuka.pale kwenye mpesa unapotoaga hela yule mtu mdomo babuka. Sasa kwa kukujuza zaidi ni kwamba wenye midomo iliyobabuka watapewa nafasi nyingi serikalini hivo ujiandae kukimbilia kenya mleta Mada
 
Wengine wamezaliwa hivyo na wengine mapungufu ya vitamen co wote watakuwa na H I V pia magojwa ni majiwa ya MUNGU haifai kunyanyapaa hakuna anaeijua Kesho yake ni kumuomba Mungu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugonjwa haupimwi kwa macho ,,,,,,usidhalilishe wagonjwa kwani hawakupenda kuumwa na binadamu tunapita hujui lini utapata magonjwa makubwa kama wao.
 
Hivi inakuwaje watu wanababuka midomo?yaani midomo inakuwa na wekundu hivi kama kaunguzwa moto,,halaf nimechunguza nikagundua watu walioathirika na HIv wengi wao wamebabuka midomo sijui ni kwaajili ya dawa zao wanazomeza,,kuna sehemu nimekuja hapa yaan watu nnaowafaham afya zimezorota ,ngozi zao hazing'ai,,midomo imebabuka,
Pia kuna huyu dada nilimuacha vyema tu mzuri kweli nimemkuta nae midomo imebabuka ,ngozi yake haing'ai kama mwanzo,,
Katika maisha yangu nawaogopa sana watu waliobabuka midomo na ngozi hazing'ai ,,hata unipe nini mwanaume aliebabuka midomo hapana kabisa naonaga kama ni wagonjwa,,maana nishatembelea wodi ya wagonjwa wa HIV wotr midomo yao imebabuka,, (je ninavyohosi ni kweli asilimia ngapi??) Halaf nikimuhisi mtu kaathirika na kweli anakuwa kaathirika kweli nikimuangalia macho yake,ngozi ,,,tumuombe Mola aisee magonjwa haya mabaya sana
Nakumbuka zamani kuna kijana mmoja alikua akinifukuzia ananialika tukale wote mara anitumie pesa,,sasa ile nikitaka kwenda kuonana nae roho inakataa kabisa,, mpaka akaacha kunisumbua,,sasa siku zikapita sijaonana nae nikajua alisafiri ,,kumbe kalazwa hospital ,siku moja naenda kusalimia mgonjwa si nikakutana nae anafanyishwa mazoezi kakondaa midomo imebabuka,,nywele zimekuwa lain halaf zimenyonyoka ,,anatembelea mti ,ngozi imepauka hata ukiipaka mafuta sidhani kama yatashika,, nadhan alitaka hata kukata njia nyingine tusionane lakin hakuweza ,,aisee nilishtuka jamanii,,nikasema kumbe nilikimbia moto,,
Mim huwa najitahidi sana kuchagua aisee na ni vyea zaidi kupima na kutumia kinga,,,pia msifanye sana fanyeni kidogo tu kuepuka michubuo
Mambo yashaharibika oohoo
Najua kuna watu wanaokunywa pombe kali midomo nao hubabuka lakin wengi waliobabuka ni waathirika wa HIV,,,
mama sabrina wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aya mambo yaone kwa jirani tu, omba yasikukute au yampate ndug yako wa karibu.
 
Ila kwa watu ambao hawajazoea kukaa maeneo yenye baridi, wakienda maeneo hayo basi midomo yao hubabuka pia
 
Back
Top Bottom