Watu wala watu

Watu wala watu

Ili uweze kula nyama husika ni lazima hicho kiumbe kiwe marehemu hatuli fresh, tunakula mizoga... Fresh tunayokula ni ile when two of you are naked in the bed bumping zero distance full of sweet agonies n passion... Ile ladha ile....
Yeah that's what am talking about... Matusi... But akifa hakuna fida yoyote tena...
 
Simekumbuka zile riwaya za alfu lela ulela na hadithi za Sinbad baharia!!
 
Mmmhhhh yaani Mkuu kila nkiona thread zako mapigo ya moyo yanaenda double double.! Last time nliona ya mambo ya motuary nkasema labda utabadilika ila sasa naona umedhamiria na hii kazi.! Anyway kama kukifunguliwa butcher ya nyama za binadamu hapa bongo usiache kutujulisha cause naanza kupata mashaka na nyama nina wazo la "KUREJEA EDENI" mwendo wa matunda na mbegu tuu
 
Huu siupuuzi bali watu wa ainahii wapo hata hapa kwetu tz kimfano mkoa wa kagera pale bukoba kuna sehemu inaitwa bugabo watu walile eneo wanahiyo tabia ya kula watu hasa wale waliokwisha kufa na wageni huliwa cana.. Ndiyomaana wao wakifiwa hulinda maiti cku 7
 
Mmmhhhh yaani Mkuu kila nkiona thread zako mapigo ya moyo yanaenda double double.! Last time nliona ya mambo ya motuary nkasema labda utabadilika ila sasa naona umedhamiria na hii kazi.! Anyway kama kukifunguliwa butcher ya nyama za binadamu hapa bongo usiache kutujulisha cause naanza kupata mashaka na nyama nina wazo la "KUREJEA EDENI" mwendo wa matunda na mbegu tuu
 
Ili uweze kula nyama husika ni lazima hicho kiumbe kiwe marehemu hatuli fresh, tunakula mizoga... Fresh tunayokula ni ile when two of you are naked in the bed bumping zero distance full of sweet agonies n passion... Ile ladha ile....
Seems you're a perfect guru in that field as well
 
Back
Top Bottom