Watu wala watu

Watu wala watu

Nasikia na wale jamaa wa kwenye misitu minene pale Zaire wanakula sana Nyama za Watu, Ila hawalani wao kwa wao bali wakimuona mtu mrefu.
Kwa sababu wao mtu mrefu ni Kiumbe cha Ajabu.
Ndugu fahamu kuwa hapa kwetu wapo. Mikoa ya kusini hakuna kisicholiwa huko.
 
Kula nyama ya kawaida kama ngombe mbuzi n.k.

Maana kuna hizo nyama za binadamu zmekaushwa kabisa kama nyama choma ya mbuzi kumbe za binadamu
Nasikia eti tamu sana
 
Hii Guts ya kuzungumzia haya mambo unaitoa wapi?? Ili iweje? Ni Somo or Promo?
 
Mimi sioni tofauti ya kumla ng'ombe na kumla mtu. kama ni ukatili ni ule ule kumla binadamu na mnyama! kwanini kula nyama ya binadamu muone tatizo ila kula wanyama ndo sahihi. Huo ni ukatili tu, tangu mwanzo nyama haikuruhusiwa kuliwa na binadamu bali ni uvumbuzi wa mwanandamu, binadamu anatakiwa ale mboga na matunda tu na sio nyama! ndo maana tumepungukiwa na ufahamu na afya bora na kuleta curse kwenye miili hii sababu ya nyama.
Conclusion: kula nyama ya binadamu ni ku advance kwenye ulaji wa nyama
Kama ilivyo kwenye vileo, unaanza kidogo kwa kula confectionaries, then una advance kidogo kidogo hadi kwenye drugs.
Hata u sodomy unaanza na kutoridhika na kawaida sasa una advance huko kwingine.
Ni wakati muafaka wa kuwaacha wanyama nao waishi. Acheni kula nyama.
 
Mimi sioni tofauti ya kumla ng'ombe na kumla mtu. kama ni ukatili ni ule ule kumla binadamu na mnyama! kwanini kula nyama ya binadamu muone tatizo ila kula wanyama ndo sahihi. Huo ni ukatili tu, tangu mwanzo nyama haikuruhusiwa kuliwa na binadamu bali ni uvumbuzi wa mwanandamu, binadamu anatakiwa ale mboga na matunda tu na sio nyama! ndo maana tumepungukiwa na ufahamu na afya bora na kuleta curse kwenye miili hii sababu ya nyama.
Conclusion: kula nyama ya binadamu ni ku advance kwenye ulaji wa nyama
Kama ilivyo kwenye vileo, unaanza kidogo kwa kula confectionaries, then una advance kidogo kidogo hadi kwenye drugs.
Hata u sodomy unaanza na kutoridhika na kawaida sasa una advance huko kwingine.
Ni wakati muafaka wa kuwaacha wanyama nao waishi. Acheni kula nyama.
Duu.. Imekaa njema Sana japo naelewa fika wengi hawatakubaliana nawe kwakuwa hawakuzoea kuukabili na kuukubali ukweli
 
Back
Top Bottom