Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,780
Atakaetoa hilo jibu nani?Hivi wanawachuna ngozi kama mbuzi au ngozi pia ni sehemu ya kitoweo?!!!
Labda mhusika
Atakaetoa hilo jibu nani?Hivi wanawachuna ngozi kama mbuzi au ngozi pia ni sehemu ya kitoweo?!!!
SubhanallahView attachment 493459unaikumbuka hii picha? Hapa ni Tanzania
Mmh naamini kabisa hujui dhima ya JF na majukwaa yakembona mada zako nyingi ni vitu vya ajabu ajabu sana
mara mambo yakufa leo umekuja na mpya tena la kula watu keho nadhani utakuja na ya kuzimu
plz try kuchange your mada hizi haziko rafiki sana
anakula papuchiz .. nyama mbichiiiiiiMshana na we unakula nyama za watu?
Duuuuh ulivyo jiaminisha na kutilia mkazo eti kabisaMmh naamini kabisa hujui dhima ya JF na majukwaa yake
USHAURI MUHIMU! usijaribu kula nyama ya mtuDah! Wapi huko mkuu. Yaonesha huko watu wanene ni mali saana, Je, wanawaua ka ngedere au wanangojea kitu inayopelekwa morg?? Wasije tu huku kwetu, nadhani hayo marambo ya kule Kawe yasingeli onekana. Swali la kizushi tu mshana jr, hivyo vichwa huwekwa kwa ajili ya kupigia mahesabu kuwa mwaka huu tumekula wangapi au vina bei zaidi?? Je, wakikosa mlo si wataraukiana wenyewe??