Watu wala watu

Watu wala watu

Dunia ina vioja hii
IMG_20170409_205020.png
 
Mimi sioni tofauti ya kumla ng'ombe na kumla mtu. kama ni ukatili ni ule ule kumla binadamu na mnyama! kwanini kula nyama ya binadamu muone tatizo ila kula wanyama ndo sahihi. Huo ni ukatili tu, tangu mwanzo nyama haikuruhusiwa kuliwa na binadamu bali ni uvumbuzi wa mwanandamu, binadamu anatakiwa ale mboga na matunda tu na sio nyama! ndo maana tumepungukiwa na ufahamu na afya bora na kuleta curse kwenye miili hii sababu ya nyama.
Conclusion: kula nyama ya binadamu ni ku advance kwenye ulaji wa nyama
Kama ilivyo kwenye vileo, unaanza kidogo kwa kula confectionaries, then una advance kidogo kidogo hadi kwenye drugs.
Hata u sodomy unaanza na kutoridhika na kawaida sasa una advance huko kwingine.
Ni wakati muafaka wa kuwaacha wanyama nao waishi. Acheni kula nyama.
Mawazo na maoni yako ninayaheshimu. Nyama ni chanzo bora cha protini tunsyoihitaji miilini mwetu.
Tunahitaji protini zaidi kuliko wanga. Asante.
Nakushauri kula nysma kwa wingi lkn sio nyama ya binadamu
 
You have a freedom to eat human meat but not to that extent, so watch out!😉😉😀😀
 
Hapa Tanzania ni watu wa wapi wanakula nyama ya binadamu?
 
Dunia ina vioja hii
Tembea uyaone mkuu,
Nilipofika mikoa ya kusini nilikuta jamii ya makonde wanatafuna kila kitambaacho juu ya uso wa dunia, hata wanadamu wenzao.
Panya, kima, nyani, mbwa.....ngedere,...
 
Mbona hapahapa kwetu Tz wapo wale ambao hula kondo la mtoto. Yaani, mama aweza hata rudishwa kwao mume asipoliona. Tena wanajua hatakulichunguza kuona ka kimekatwa kipande.
Wala watu ni wengi. Abasenene mnawajua?? Wale wa kwetu watawajua.
 
😀😀😀
Nimewaza hao watu wala watu.. Do they also eat the private parts as well?

# Just wondering Super Dear #

😀😀😀😀😀😀😀 Smart911 yani umenichekesha hapa nakaribia kukaukiwa lol Wee mwanaume wamie jamani khaa
Asante mungu
 
Back
Top Bottom