Sisi wafupi hatukujiumba wenyewe, tumejikuta tushakuwa hivyo! Hata kwenye kujiamini ni hivyo hivyo, tunahisi kudhaurika muda woteWanajishtukia sana lakini kimsingi ni watu ambao tunawaheshimu na kuwapenda. Ufupi sio ulemavu ni maumbile kama ilivyo urefu, unene au wembamba.
Ufupi usikufanye ujisikie vibaya na kukufanya utumie nguvu kubwa kusaka attention inabidi ujivunie maana hata sisi warefu tunapenda wanawake wafupi yaani sweet and short.
Be proud


tuwache tu, kuna mabinti wanatuoneaga huruma wanatupenda hivyo hivyo. Bahati nyingine ni kwamba Mwenyezi Mungu amejalia watu wafupi wengi vipato kuliko warefu
