Ndio nini? Tuhoji mseme wafupi tuna shidaimergin
Ukikosea kubaliOna kakosa kadg hako kesi. Ufupi kazi sana
Hata kama anakosolewa na mfupi, kweli kabisa.Ukikosea kubali
Kwa huu mwandiko sidhani kama haufanyi kazi ofisi ya kuuza dagaa basi upo ofisi ya makuwadi hapo Sudan ya TemekeNina watu flan wafupi ofsi Mate. Kitu kidg tu kesi. Wanatabia ya kupenda upesho flan hivi. Yaani hakuna kilema kizur ila ukisikia ulemavu, acha kabisa ulemavi ni maumivu makunwa sana. Ukitaka uprove hili utaonaka Kwa shortsized people. Utaona kasoro kibao. Ukiwa kiongoz hakikisha unawapa short people special care. Hawa ni special group
Dah acheni nyie ufupi ni kilema kibaya sana.
View attachment 2784563View attachment 2784565
Yaani emerging anatafuta kisingizio tu.
Aku let down. Nionavyo mie sisi sote tumeumbwa na mungu mmoja , ni marehem wataraniwa. Tuwape speciality, Pana dada mmoja ninakawaida ya kumpa ukarimu upendo, Kwa kweli ananipenda na tunaheshimiana, ila ufupi unamtesa sana. Jamaa weusi wafupi mungu wangu, yaan balaa, lkn naona tuwapende ni wenzetu tusijifanye tumewapita urefu..
Tukiongea nao tupindishe goti tupungue urefu kias. Mimi marehem x najua sitaishi milele
Sasa kama unalijua hili unalalamika nini hadi kufikia kiwango cha kuwaanzishia uzi?Sio mbya Moja ya sifa ya wafupi wanakosoa sana. Kila kitu ni kosa, na ni ishu ndio walivyo
We unadhani watu warefu hamboi?Sometime mnaboa sana nyie watu
Mkuu nimecheka kwa nguvu. Lkn hujakksea, watu wafupi fujo zao ni hatari. Anaweza akawa anapanua mikono na miguu akiwa anatembea, utafikiri anabusha na majipu makwapani. I'll mradi mumpishe tuunawezakuta aliyeandika hii mada naye ni mfupi. ila tu anataka kuleta fujo tu hapa.
ila huwa wanaopoa wanawake wenu warefu na wazuri kwasababu ya mpunga. wengi wao wana mpunga kuliko warefu. unakikuta kimenunaaa kibahiliii na kina bonge la duka. wakati mrefu unambwelambwela na wanawake wanakula pesa zako za mtaji, wao wanatafuta, ukifulia tu wanapora mwanamke...though hata wakioa mrefu atakuwa anakuja kutia timu.la
Watu wafupi ni shidaaa...
Kweli kabisa, utakuta anamke mzuri hatare...ila huwa wanaopoa wanawake wenu warefu na wazuri kwasababu ya mpunga. wengi wao wana mpunga kuliko warefu. unakikuta kimenunaaa kibahiliii na kina bonge la duka. wakati mrefu unambwelambwela na wanawake wanakula pesa zako za mtaji, wao wanatafuta, ukifulia tu wanapora mwanamke...though hata wakioa mrefu atakuwa anakuja kutia timu.
Usikute hata Donatila naye yumo kwenye hili kundi..!! Lakini anawachamba hatariila huwa wanaopoa wanawake wenu warefu na wazuri kwasababu ya mpunga. wengi wao wana mpunga kuliko warefu. unakikuta kimenunaaa kibahiliii na kina bonge la duka. wakati mrefu unambwelambwela na wanawake wanakula pesa zako za mtaji, wao wanatafuta, ukifulia tu wanapora mwanamke...though hata wakioa mrefu atakuwa anakuja kutia timu.