Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,012
- 71,169
Kabisaaa nakama u mwanamke then unakua na viashiria ivo you should stop , wee mwanamke ,,kila kitu nakitafuta Mimi ,,ndan kumejaaa mivyakula ,,kwann uhangaike naroho mbaya ???? Unaona raha kupika chakula umwage lkn sio kumpa mtoto wajiran ambaye toka asubuh hajala ???..Sawa.
uchoyo nidalili namwanamke , asojua kupika ,akijua huwa hapendi kupika ,akipika hapendi kula ,,na sababu hapendi kula nimwembamba , alafu wanawake waivi niwachoyoo balaaaaa wao wanapenda tu kula vyakula vyakununua ...
Mara nyingi huishia kua masikin , nawanawake wahivi huwa hawana mawazo chanya yamaisha ,sababu anaona vyakula hsviishi sasa ajiongezi kwake kila kitu kipo sawa
Mwanamke mchoyo wachakula ( bajeti ). Mara nyingi hapendi watu ,,hapendi ndugu ,,wala marafiki zako ,, mwanamke mchoyo wakula huwa sio msafi safi ,, ,mwanamke huyu anapenda nguo sana na kujipodoa kupita kiasi ,, huyu mwanamke nimwepesi kukuambia ,, "* mama wann bna ,ungemtumia ela akatibiwa hukohuko * .
Wacha niishie tu hapa !!!. Mnisamehe tuuu jaman . huo ndo ukweli.