mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,282
- 44,819
Ushaambiwa usije mjini
Kiherehere cha nini?
Kiherehere cha nini?
Njaa zenu tu, mbona nyie vijijini mnakuja?Ushaambiwa usije mjini
Kiherehere cha nini?
Kaeni huko huko kwenu. Msitusumbue.Njaa zenu tu, mbona nyie vijijini mnakuja?
Mmepoteza utu kabisa Kwa sababu dhaifu eti usasa na ubepari
mh sio kwa povu hili aseKaeni huko huko kwenu. Msitusumbue.
Mkija mnakuja mikono mitupu.
Mkiondoka mnataka.
MNUNULIWE MCHELE, UNGA,
MUENDE NAVYO KWENU.
Hawa watu wa ajabu Sana. Wanakuja mikono mitupu.cha ajabu wakitaka kuondoka wanataka uwafungashie mzigo wa maana.akiona shati atabeba, suruali atabeba,mh sio kwa povu hili ase
hahahah....au kuanza kutangaza shida hahah
Kumbe tatizo sio Upendo!Tatizo ni Chakula.Shida kubwa ni watu wamejawa nauchoyo tuuu hamna kingine ..and now days upendo wawatu umepungua sana...+ umasikin basi uchoyo umezidi kipimo.
Binafsi , kukaa mwenyewe naonaga siwezi nahata msosi sionagi raha yake kabisaa , km sina mchizi Wangu basi nipo radhi nikawaite watoto wamajiran waje tupate msosi ile mnakula kwakushindana hadi Raha.
Watu waache uchoyo ,,uchoyo kwakisingizio cha bajeti nidalili kubwa ya UMASIKINI.
Kama unaweka uchoyo hata kwenye chakula ambacho huja kukitoa km kinyesi ,,nin kingine ????? Unacho.Kumbe tatizo sio Upendo!Tatizo ni Chakula.
Upendo hupaswi kupimwa kwa chakula pekee
Mmmhhhh ,, unaweza kweli kukaa nandugu nawamme ??? .Sasa ukishagundua kuwa watu wa mjini hawana upendo,fanya kurudi kijinini!
Itapendeza zaidi.!
Mtu akikunyima chakula yakupasa umpende sana!Kama unaweka uchoyo hata kwenye chakula ambacho huja kukitoa km kinyesi ,,nin kingine ????? Unacho.
Ukimnyima MTU chakula ,,unahisi hata ukimpa nguo atakuelewa ????? .
Hata hueleweki naona unasadifisha roho mbaya tu.Mtu akikunyima chakula yakupasa umpende sana!
Usipende sana chakula kuliko huyo mtu.
Maana yake umekipenda sana kinyesi kuliko yeye!
Kumbe tatizo sio upendo tena...ni chakula!
Sawa.Hata hueleweki naona unasadifisha roho mbaya tu.
Tulipewa upendo ILI kutoa nakusaidia wahitaji ,, unawezaje sema unaupendo while outside there kuna jiran analala njaa ??? Wanawe hawana nguo ,,lkn wewe unacho even though nikidogo lkn unacho ????? .
Achen kua na upendo wakwenye makaratasi ....upendo umejengwa ktk matendo basi ..namatendo yenyewe nihayo kutoa nakusaidia anayehitaji .
Kinyume nahapo nimbwembwe...
Utaniambiaje unanipenda ,wakat uliniacha nishinde njaa malangon kwako ???? Ilihali chakula kimo ndani ???.
Weee unaupendo au msaniii
Hapa tunazungumzia watu na familia zao, sasa we inaonesha upo kisela zaid, ule peke yako vipi na una mke na watoto"" uwe na familia kama kuna siku hata moja utadhubutu kuita majirani wakusaidie msosi.Shida kubwa ni watu wamejawa nauchoyo tuuu hamna kingine ..and now days upendo wawatu umepungua sana...+ umasikin basi uchoyo umezidi kipimo.
Binafsi , kukaa mwenyewe naonaga siwezi nahata msosi sionagi raha yake kabisaa , km sina mchizi Wangu basi nipo radhi nikawaite watoto wamajiran waje tupate msosi ile mnakula kwakushindana hadi Raha.
Watu waache uchoyo ,,uchoyo kwakisingizio cha bajeti nidalili kubwa ya UMASIKINI.