Watu wa Mjini hawana upendo

Watu wa Mjini hawana upendo

Nyie hata mtu anayepita tu, hamuonyeshi ukarimu.

Mnapenda sana ubinafsi
hahaaa sio kweli mkuu
hilo unalosema pia linategemea baina ya watu na watu...hata huko kwenu pia kuna watu wanaroho mbaya pia...
nasema hili jambo nikiwa naushahidi wakutosha tyu
 
Huku nyumba za wageni zinajaa wageni wa Dar to Dar yaani atokako Dar aendako Dar!
hahaaaa kabisa yaani...kuna dar ya nyumba ya wageni na dar ya DAB MZEE wakolomije..kwahiyo hao wageni hawajakosea at..so wanapo pata ladha ya ule utamu wa tunda lakati huwa wanajihisi kuwa wapo ndani ya dar nyingine
 
Utu huku unakufa njaa? endelea mkuu.
hahaaa hapo mmekutana ..mmoja nimfuasi wa ujamaa
namwingine nimfuasi wa ubepari...endeleeni
mimi Nipo natizma tu hiyo series yenu
 
Mie mgeni njoo ila sio ufike na kuanza kutuma tuma uliowakuta hapo nyumban,utengewe msosi ule bila kutoa vyombo unainuka na kuondoka,maji ya kuoga wataka ya moto napo uwekewe bafun loooh kaa huko hukooo
 
hahaaa hapo mmekutana ..mmoja nimfuasi wa ujamaa
namwingine nimfuasi wa ubepari...endeleeni
mimi Nipo natizma tu hiyo series yenu
Uo ubepari wenu unawafanya muwe watumwa

Hamtaki hata wa kwenu, kisa bajeti.
Kwani mkitulaza njaa huwa tunawalaumu? au huwa mnajishitukia tu
 
Mie mgeni njoo ila sio ufike na kuanza kutuma tuma uliowakuta hapo nyumban,utengewe msosi ule bila kutoa vyombo unainuka na kuondoka,maji ya kuoga wataka ya moto napo uwekewe bafun loooh kaa huko hukooo
Hapo sawa
Ukarimu na wajibu
 
ni kweli kabisa 100%, mimi pia sipendagi wageni maana budget zangu za kigeto geto zinavurugika.

Sio bajet wala geto nafasi ni kwenye moyo
Kama moyo wako wewe wa ndimu au pilipili hoho ama wakorosho huwezi kumkaribisha hata mzazi wako nyumbani kwako


Kingine kua na tabia kama hio ni ile siku ukienda likizo kijijini kwenu basi huko utajifanya wa mjini kweli kujionesha wewe mtu wa wamatawi ya juu unavaa jins mpya tu na ma kadets
Kumbe hizo nguo uliazima ama ulikodi tu kwa dobi,,mlo wako mara moja kwa siku
Sasa unahofia kua ukipata mgeni utaumbuka[emoji3][emoji3]
 
Uo ubepari wenu unawafanya muwe watumwa

Hamtaki hata wa kwenu, kisa bajeti.
Kwani mkitulaza njaa huwa tunawalaumu? au huwa mnajishitukia tu
hahaaa mkuu hii kitu itakuwa imekukuta wallahi tena...yaani una element zote zakuwa muhanga wa Tabia za baadhi ya watu wamjini...

nachotaka ufahamu kuwa sio wote ambao wanahizo tabia ulizoziorodhesha katk hii statement yako...
mbona sisi watu wa dar tunapokujaga mikoanni huwa tunakutana navijitabia ambavyo havitupndezi ila tunapiga kimya tu..kama kukosekana kwa uwaminifu kwa baadhi yenu..umbea ..kujirahisisha kwa baadhi ya wanawake wanaotoka ktk mikoa yenu..yaani wakiskia kuwa huyu nimwanaume toka dar tu..au nimsomi bhasi Tayari umeshaoa....yaani hiyo ndio inakuwa ticket yakupewa papuchi na marriage proposal... ila huwa tuna baki na siri zetu moyoni kwakuwa tunajua kuwa sio wote ambao wapo hvyo
 
Sio bajet wala geto nafasi ni kwenye moyo
Kama moyo wako wewe wa ndimu au pilipili hoho ama wakorosho huwezi kumkaribisha hata mzazi wako nyumbani kwako


Kingine kua na tabia kama hio ni ile siku ukienda likizo kijijini kwenu basi huko utajifanya wa mjini kweli kujionesha wewe mtu wa wamatawi ya juu unavaa jins mpya tu na ma kadets
Kumbe hizo nguo uliazima ama ulikodi tu kwa dobi,,mlo wako mara moja kwa siku
Sasa unahofia kua ukipata mgeni utaumbuka[emoji3][emoji3]
hahaaaa huu sasa niuwongo ulioamua kuwa uchi kabisa...
duuuhhh kwahiyo hata kama nina nguo ambazo bado hazijachakaa sipaswi kuzivaa kisa tu Nipo kijijini
aiseeeee hizi nichuki binafsi tu...pambaneni na hali zenu tu..hahaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom