Nebuchadneza
JF-Expert Member
- Oct 6, 2023
- 416
- 1,036
Nina hasira sana.
Naanza na nyie watu wa mikoani ambao kila kukicha tunawapokea stand ya magu na mabegi yenu ya shangazi kaja, mkifika pale mnatapeliwa kwa kuuziwa sabuni eti mnadanganywa simu.
Nakukaribisha kwangu, kwenye chumba changu unapagawa na flat nchi 55 ukutani, sofa kali kitanda kikubwa unabaki unaduwaa maana hivi vitu vigeni kwenu ushamba huooo.
Nakupa pamba zangu huendane na watu wa Dar wasikushangae kwa manguo yako ya kishamba na maviatu yako meusi kama wanafunzi wa msingi, acheni ushamba.
Baada ya weeks kadhaa mnajiona tayari mshajua jiji na kuanza kubadilisha lafunzi eti niaje mwana kudadeki, nakulisha nakuvisha alafu unajiona mjanja wa Dar pumbavu zako.
Naomba serikali yangu iweke kuja Dar lazima uwe na Visa, maana mnajaza bure jiji letu pendwa kila mtu wa mikoani unawaza kuja tu Dar tushawachoka sasa.
Bakini huko Bush kwenu kwa hao mademu zenu wasiojua kukata mauno, hii ndo Dar.
Naanza na nyie watu wa mikoani ambao kila kukicha tunawapokea stand ya magu na mabegi yenu ya shangazi kaja, mkifika pale mnatapeliwa kwa kuuziwa sabuni eti mnadanganywa simu.
Nakukaribisha kwangu, kwenye chumba changu unapagawa na flat nchi 55 ukutani, sofa kali kitanda kikubwa unabaki unaduwaa maana hivi vitu vigeni kwenu ushamba huooo.
Nakupa pamba zangu huendane na watu wa Dar wasikushangae kwa manguo yako ya kishamba na maviatu yako meusi kama wanafunzi wa msingi, acheni ushamba.
Baada ya weeks kadhaa mnajiona tayari mshajua jiji na kuanza kubadilisha lafunzi eti niaje mwana kudadeki, nakulisha nakuvisha alafu unajiona mjanja wa Dar pumbavu zako.
Naomba serikali yangu iweke kuja Dar lazima uwe na Visa, maana mnajaza bure jiji letu pendwa kila mtu wa mikoani unawaza kuja tu Dar tushawachoka sasa.
Bakini huko Bush kwenu kwa hao mademu zenu wasiojua kukata mauno, hii ndo Dar.