Thibitisha uwepo wa uchawiNa huo ndo ukweli
Wanaroga vibaya sana
Nili ishi kule na kuna mazaibu yalinikumba sitosahau mpaka nikahama
Je, kuna siri gani.. Nimegundua kuwa nilicho pitia ilikuwa ni dumba kabisa.
Hapa umeamua tu kuwachafua wakwe zangu.Siwezi ila ilikuwa ndumba ile
Huwez kuthibitisha ila unaamini ilikuwa ndumba 😂Siwezi ila ilikuwa ndumba ile
Kila kitu kinatokea kwa siku moja tuHayaja kukuta wewe, siku ukipigwa zuzu ndo utajua
Acha Bangi, sema wamekufanya nn, kama Huwez kusema bc kakojoe ulaleSitarudi mbeya, wanakuchekea usoni na ni wapole sana ila kwenye uchawi...
Ndo maana makanisa kila kona