Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Mbeya go on. Fanya mile kinachotaka moyo not matumbo. Ukisikilizia matumbo ubongo pia haufanyi kazi.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowaunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa Arusha. Watu wa Arusha wanajulikana hao, hatuna tatizo nao cha Arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Mwana mabadiliko wa kwanza nchini alitoka Mbeya (Elli Anangisye - RIP), unataka wabadilike vipi kama mabadiliko bado hayajafikiwa??? :hail::hail::hail::hail:
 
Katika uchaguzi huu tutashuhudia mengi.Hata wale tuliokuwa tukiwaamini na kuwaheshimu wameamua kuonesha rangi zao halisi.
 
watu wa mbeya hawajui kutengeneza sifa ambazo hawana ,,,,,mavi hawaiti kinyesi,,,,,au sijui haja kubwa,,,,WANAYAITA MAVI
YAANI M.......A.......V......I....SASA SISIEM WAITWAJE NA WATU WA MBEYA......
 
mwambieni kwanza aache kufananisha Mbeya na Arusha. Pili afwatilie siasa za mbeya atapata jibu.
 
Kaka zungumzia mikoa mingine kwa mbeya unapoteza muda,hawana muda wa kulealea ujinga ukileta mambo ya kishamba mbeya nzima kutoka tunduma chunya mby mjini mpaka kyela ni lazima uzinguliwe, hii ndio mby kaka
 
Wana Mbeya walishaamka siku nyingi ndugu sio mazezeta kama mlivyokuwa mnawadanganya! kusema kweli ccm imechokwa vibaya sana tz hasa na kizazi kipya! Hivyo funga domo lako acha mageuzi yachukue mkondo wake!
 
Wewe ni Lipumbafu likubwa kuliko hata Mkapa! Unaona fahari gani kuwagawa watanzania kwa ukanda? Utafurahi siku kaskazini wakijitenga? Mtu mzima hovyoo!
Khaa!! Mbona walijitenga siku nyingi! Hii iko wazi bana kila mtu anaiona labda uwe umelewa
 
Ndugu zangu pamoja na kuwasifia sana watu wa Mbeya kiasi hicho washaurini pia wapunguze dharau. Kuna miaka huko nyuma nasikia Mh. Kawawa alifika kuwahutubia nadhani ni Kyela. Kama mnavyojua, huyo Mh hakuwa mtu wa mikogo wala fujo lakini ufupi wake ulimponza. Ile kuinuka tu aanze kuongea nasikia watu wakaguna, "asee ..." wakaanza kutawanyika eti hawawezi kupoteza muda wao kumsikiliza mtu mfupi hivyo kwani waliposikia jina linavyovuma walifikiri ni jitu la uhakika linakuja kuwapa pointi! :becky::becky:
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowaunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa Arusha. Watu wa Arusha wanajulikana hao, hatuna tatizo nao cha Arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Nyie mna kampeni gani za kistaarabu? Jiandaeni kuwa wapinzani acheni mapovu
 
Nyie huko ndio bado mnaishi 90s.. Mkishazomea uwa mnapata nini? Mji umeharibika sana siku hizi huo, mnaaibisha wazee wenu.

Wewe vp? wakuharibika mumeanza kuwaona leo sababu yakuzomea?umemsahau aliye mpa kipigo yule mzee kigeugeu ?halafu akazawadiwa u DC..sasa waache wana Mbeya wazomee mana zawadi yao haitakuwa u DC bali zawadi yao ni October 25...Take it
 
Ukileta vita katika maisha ya watu hata wakihisi kimvuli chako wanaweza kuangamiza hata sisimizi wa nyumbani kwako hiki ndicho kinachotokea kwa ccm msiwalaumu wananchi
 
Hawajaichoka ccm ila ni watu wanaopenda sana ushabiki wa kishamba. Yani wana akili za kushikiwa.

Watu wa MBEYA hawana unafiki, wanafanya wanacho kiamini hadharani tofauti na sehemu zingine ambazo watu bado wana jificha kwa kutumia nguo za blue na kijani lakini ndani wengine ni Wanamadadiliko @ UKAWA
 
Back
Top Bottom