Watu wa IT chukueni hii idea

Watu wa IT chukueni hii idea

NullPointer this is probably how it should go:

Mfanyakazi wa serikali (mwalimu for example) anapotaka kuhamishwa kituo cha kazi kwa kubadilishana na mwingine anasubmit taarifa zake (current location, work position, desired locations, contact info e.t.c).

Kazi ya hiyo system ni kufanya matchmaking. Inamwambia mtu A kuwa kuna mtu B ambaye yuko sehemu unayotaka kwenda na mnafanya similar jobs ambaye pia anataka kuja mahali ulipo. Na mtu B pia anakuwa notified kwamba kuna elligible exchange peer.

Watacontact each other (someone can only see your contacts if you authorize them) na wakikubaliana, basi wanafuata procedures za serikali kubadilishana vituo vya kazi.

Wakifanikiwa, they are removed from the system. The more people who join the more likely it is to find a match.

Excellent idea, from the basic flow two weeks of programmer time are sufficient to bring the web app online.
 
Mna uhakika kuwa mkienda mamlaka husika ninyi wawili ambao tayari mmekubaliana kubadilishana mtakuwa processed?

Mfumo unaotumika sasahivi, tatizo huwa ni kupata match / exchange au kuna hatua / bureaucracy nyingine zinazoleta changamoto?
 
Mna uhakika kuwa mkienda mamlaka husika ninyi wawili ambao tayari mmekubaliana kubadilishana mtakuwa processed?

Mfumo unaotumika sasahivi, tatizo huwa ni kupata match / exchange au kuna hatua / bureaucracy nyingine zinazoleta changamoto?
Kwa ninavyoelewa mfano kwa mwalimu ili ahame inabidi apate mtu wa kubadilishana nae kituo cha kazi , hii ndio changamoto aliyoielezea mleta mada na hili pia tumeliona kwenye jukwaa la elimu . Kikubwa huu mfumo utakutanisha watu wenye taarifa zinazoendana yaani mfano mimi nataka kuja dar kutoka mwanza na yeye anataka kutoka dar kwenda mwanza kwa hiyo mfumo utakuwa umesaidia kutukutanisha kwa urahisi. kwa mfumo unaotumika sasa hivi changamoto yake kubwa ni kupata mtu wa kubadilishana nae.
Kuhusu kufanyiwa process siwezi kuisema kwa sababu itafanyika nje ya mfumo.
 
Let me start by now designing a database system. Ila hii itabidi iwe maana wabongo huwa hawapendi kulipia issue za IT.
 
Salam.
Mimi sijui mambo ya IT ila mimi ni mwalimu ila natoa wazo bure!!
Nyie watu walimu na wafanyakazi wa serikali wa idara nyingine wamekuwa wanahangaika humu kubadilishana vituo vya kazi mimi naiona kama fursa kwenu.

Kwanini msiandae program ambapo mfanyakazi yoyote wa serikali anaweza kuingia kwenye hiyo database halafu akajaza details zake humo na baadae ikampa options za wafanyakazi wenye uhitaji wake.

Mfanyakazi husika labda anaingiza taarifa kwenye data base hiyo hata kwa elfu ishirini halafu itangazeni mtapata raia mpaka mkimbie.

Mimi naomba fanyeni na liundeni au liwekeni kwenye speciality yenu mimi mniaknowledge tu inatosha.

This requires a mass of honest developers/programmers, but most of developers/programmers want to live in a world where they're rich and famous.
We have to know what is the difference between being richest and being successful, keep dreaming though buddy.
 
Hii haiwezi kumtajirisha mtu, audience ya bongo sio ya kuitegemea kiasi hicho, tena when it comes to money they never pay. Hii ni ya kuitengeneza na kuitoa bure tu kama msaada. Nikiwa na muda weekend ninaweza fanya prototype, sioni challenge yoyote kwenye kuitengeneza hii, sema nitahitaji more data ili kutengeneza schema inayoeleweka.
 
This requires a mass of honest developers/programmers, but most of developers/programmers want to live in a world where they're rich and famous.
We have to know what is the difference between being richest and being successful, keep dreaming though buddy.

Hapo kwenye bold si kweli, hiyo statement yako ya kwanza, hii app haihitaji "mass of honest developers" ni kitu developer moja tu anafanya tena bila shida, its simply storing and fetching data from the database, hata match making hakuna any complexity ni kukutanisha watu walio kwenye same category basi na kusort locations kulingana na preferences za anayetafuta wa kubadilishana naye.

Statement yako ya pili, developers don't care about being famous ila kwenye "rich" hehehe nani hapendi kua tajiri? pesa is the reason tunafanya kazi japo tunapenda kazi tunayoifanya kudeal na challenges kila siku, without money kazi haiendi.

Naomba tofauti kati ya kua rich and kua successful! I think hii ni relative, kwangu mimi success inaweza kua na maana tofauti na kwako, tuna different goals, tukifikia malengo yetu tunasema tume-succeed, hata gaidi aliye na goals za kuua kwake yeye success means kuua as many people as possible.
 
Hii haiwezi kumtajirisha mtu, audience ya bongo sio ya kuitegemea kiasi hicho, tena when it comes to money they never pay. Hii ni ya kuitengeneza na kuitoa bure tu kama msaada. Nikiwa na muda weekend ninaweza fanya prototype, sioni challenge yoyote kwenye kuitengeneza hii, sema nitahitaji more data ili kutengeneza schema inayoeleweka.

Ndio hicho nilicholenga, ("honesty") hawafanyi hivi watu just because haina view yakumtajirisha mtu n other extraneous facts.
BTW: I hope to see your prototype with no ads in the future. {kidding}
 
Ndio hicho nilicholenga, ("honesty") hawafanyi hivi watu just because haina view yakumtajirisha mtu n other extraneous facts.
BTW: I hope to see your prototype with no ads in the future. {kidding}

Hehehe mkuu umenichekesha sana kwenye "ads"
Ila si unajua server na domain zinalipiwa? ads lazima zilipie hiyo kitu. Sema sio annoying ads kama zilizopo kwenye blogs nyingi za bongo, Kawaida hua naplace ads kama facebook vile, as you scroll unapishana nayo ikiwa na native look.
 
Hehehe mkuu umenichekesha sana kwenye "ads"
Ila si unajua server na domain zinalipiwa? ads lazima zilipie hiyo kitu. Sema sio annoying ads kama zilizopo kwenye blogs nyingi za bongo, Kawaida hua naplace ads kama facebook vile, as you scroll unapishana nayo ikiwa na native look.

It was a joke buddy, as i've told you there.
 
Hapo kwenye bold si kweli, hiyo statement yako ya kwanza, hii app haihitaji "mass of honest developers" ni kitu developer moja tu anafanya tena bila shida, its simply storing and fetching data from the database, hata match making hakuna any complexity ni kukutanisha watu walio kwenye same category basi na kusort locations kulingana na preferences za anayetafuta wa kubadilishana naye.

Statement tako ya pili, developers don't care about being famous ila kwenye "rich" hehehe nani hapendi kua tajiri? pesa is the reason tunafanya kazi japo tunapenda kazi tunayoifanya kudeal na challenges kila siku, without money kazi haiendi.

Naomba tofauti kati ya kua rich and kua successful! I think hii ni relative, kwangu mimi success inaweza kua na maana tofauti na kwako, tuna different goals, tukifikia malengo yetu tunasema tume-succeed, hata gaidi aliye na goals za kuua kwake yeye success means kuua as many people as possible.

Wow
Mkuu sikatai kwamba hamna asiyependa utajiri, but in matter of personalities kila mtu anawaza kivyake.
Lakini utajiri huo huo huwa hauji haraka kama most of developers/programmers wanavyofanya, sitting aside the bed whole night creating ads n other crappy social networks yet without any strategies.
Tofauti kati ya kuwa Rich na successful mbona ipo wazi, we umefanikiwa kutengeneza sites/software ngapi na ujawa tajiri, hayo ndiyo mafanikio, na ktk mafanikio ndimo utajiri unapokujaga ndani yake humo humo, lakini two days/one mtu afanye kitu na ategemee kesho kimlipe ni ngumu.
Japokuwa vitu vingi tu vinalipiwa not to mention Apple iOS membership

Talking about Devs successes - Angalia akina Brian Acton alivyotoka nayo yaHOO au kampuni kubwa wanavyofanya kama vile Google, kupata tu kazi pale inahitaji alot of experience sio kirahisi rahisi tu, na experience inakujaga kwakufanya vitu kama hivi pia, na vitu kama hivi ukiangalia hela hufanyi.
 
Hii naweza kuifanyia kazi na kuitoa bure kwa wana Afrika Mashariki, yaani itumike na nyie huko Watanzania na hata kwetu hapa Kenya, na pia Uganda n.k.

Changamoto itakua kwenye kulipia server na domain, halafu pia sijui kama sheria za nchi zetu hizi zinaruhusu wafanyi kazi wa umma kujitangaza kwenye tovuti yoyote ile.

Mradi kama huu unaweza kuwa muhimu baadaye, yaani unautoa bure na kupata traffic kabisa halafu unaanza mikakati ya kutengeneza hela baadaye kwa matangazo ya kibiashara, pia unaweza unga kwenye mfumo wa premium SMS na kulipisha ada kwa wanaotaka taarifa kwenye simu.

Yaani njia zipo nyingi za kutengeneza hela, lakini cha msingi ni kutokua na tamaa hapo mwanzo. Siku zote subira ndio muhimu.
 
Kumbe tuko wengi tulionuia kuimplement this...

Anyway I'm going to do it as a challenge in my spare time. One good person challenged me, and gave me a deadline he thinks is impossible given the fact that all developers are always busy, ishu ni muda. The thrill of coding a new project is amazing.

NullPointer MK254 snipa hichi kitu kidogo sana yani. Mno. Ni aibu kuwa serikali zetu hazina such a trivial system. Afu pia ikiwa live wahusika wa utumishi wanaweza wakamind kwamba mtu anaingilia mirija yao ya kupigia pesa, so we should tread with care.
 
Back
Top Bottom