Watu wa humu JF nimewanyooshea mkono

Watu wa humu JF nimewanyooshea mkono

Unataka kunigonganishia magari wewe!, kama unawaita hao we pambana tu na mambo yako! wana jf endeeleni kumtekenya huyu...😂
Sasa ulivyotaka kujua.
Umbea tu mtoto wa kiume
 
Sawa.
Ila sijapenda.
Kwani kubadili Id no dhambi kubwa kiasi hiko cha kushikia bango?
Wala sio dhambi,.
Shida stories zako haziendani
Tukirefer ule wa mwanzo ulikua unatafuta kazi sijui vyeti fake na nini nini?,. After a week nafikiri ulikuja tena ukasema umepata mume na kazi kupitia ule uzi wako,.
Leo tena umekuja na mpya unaishi uchumba for 11years..hapo ndio umewachanganya watu

Ila usijali mie nakuelewa big ciccy👭👭
 
Back
Top Bottom