Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,717
- 62,667
Haha nitakuwa wapi tena kama sio humu babuuu😉Safi sana, hatujambo pia....
Nakuona kama kawaida hauja kosekana hapa..🤣
Haha nitakuwa wapi tena kama sio humu babuuu😉Safi sana, hatujambo pia....
Nakuona kama kawaida hauja kosekana hapa..🤣
Sawa.Wala sio dhambi,.
Shida stories zako haziendani
Tukirefer ule wa mwanzo ulikua unatafuta kazi sijui vyeti fake na nini nini?,. After a week nafikiri ulikuja tena ukasema umepata mume na kazi kupitia ule uzi wako,.
Leo tena umekuja na mpya unaishi uchumba for 11years..hapo ndio umewachanganya watu
Ila usijali mie nakuelewa big ciccyðŸ‘ðŸ‘
AmiiinSawa.
Uwe na wakati mwema
AhaaaNa akija tunampokea kama alivyokuja
Lady , even me I'm single Again .Sawa.
Uwe na wakati mwema
Grave diggers wako makini sana maana siku ya kuzika walinyimwa chakula.
Ukiandika uzi kumbuka kuficha sindano, tukiipata utatobolewa vibaya!
Atajiuwa jamani,. Mwoneeni huruma🥴🥴Huna la kusema kuhusu mimi wewe jitulize tu mdogo wangu.
Hakuna aliyekuvunja moyo.Sina mengi ya kusema.
Ila muda ukifika nitawajibu.
Ila ushauri wangu ni kwamba msiuvunje mtu moyo. Bora mnitegue kiuno
Roll up your sleeves mamaeh.
Moyo wako uulete kwa wana jf kwa ajili ya nn kama sio kuvunjwa na kuraruriwa?Sina mengi ya kusema.
Ila muda ukifika nitawajibu.
Ila ushauri wangu ni kwamba msiuvunje mtu moyo. Bora mnitegue kiuno